Hakuna timu pale ni makelele tu
Kwani leo timu ya taifa ilikuwa inacheza?
Kocha anaonekana hana plan kabisaKuna timu ya mikia pale...
Akili ndogoKuna timu ya mikia pale...
Sio kweliKocha anaonekana hana plan kabisa
Akili ndogo
Akili ndogo
ujinga huo, kila siku ninyi timu yenu changa tu.Sudan Wana mpira mkubwa,Timu yeti ni changa
Bado sijaona forward mkali TZNaona hoja ya Mwakyembe...mafowadi wakali wote nchini ni mapro,anabaki veteran Boko tu
Kama huwekezi,unategemea Nini,tunahitaji menejimenti Bora ya soka....la sivyo tunaendelea kusubiri nyota ianguke!ujinga huo, kila siku ninyi timu yenu changa tu.