kwa namna wachezaji wetu wanavyocheza!Kama tunataka mafanikio ni lazima,tuwekeze kwa Hawa kina Chilunda,nado,muzamir,miraji no...Naona mantiki ya hoja ya Mwakyembe kuhusu wachezaji wa nje!Mf Muzamir ni hazina ya Taifa lakini so mchezaji tegemeo wa Simba!