Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
Wakulima tumepauka kichizi huku mashambani mapembejeo yapo juu kodi za mazaoyetu ndo usiseme mbaya zaidi kodi hiyo hiyo badala iturudie sisi huku mashambani Tunasikia zinanunuliwa ndege kwa ajili ya wazungu na watu wa mjini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app