Elections 2010 Tunahitaji masaa 25 ya kupiga kura!

cabhatica

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2010
Posts
1,081
Reaction score
480
Kama kituo kina wapiga kura 500. Kila mpiga kura atahitaji si chini ya dakika tatu (3) kuingia kwenye chumba kupiga kura na kutoka ( kwa uzoefu wangu wapo wanaochukuwa hata dakika kumi).

Hisabati inaniambia watu 500 x dakika 3=1500(dakika)
dakika 1500/60 = masaa 25.

Wana JF hivi tume imetoa siku ngapi kupiga kura?

NJOONI TUSEMEZANE!!!!!?????
 

hivi chumba kinakuwa kimoja?
 
jumapili kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa kumi jioni ukienda saa kumi na dakika moja umechelewa hauruhusiwi kupiga kura
 
only 1 day, n not even 12 hrs i think, anyway we have to be fast anyway.
 
vyumba viwe vingi tu ,ila kama chumba kimoja hoja yako ya msingi
 
Watu 500 mara chumba 1 mara dakika 1 = Dakika 500

Dakika 500 gawanya Dakika 60 = Takribani masaa 8

Saa 10 Alasiri toa Saa 2 Asubuhi = Masa 8
 
hivi chumba kinakuwa kimoja?

chumba kimoja lakini meza kibao, watu zaidi ya mmoja wanaweza kupiga kura kwa wakati mmoja. Kukiwa na meza 10 kwa mfano, watu kumi dakika 3, zitahitajika dakika 150 (masaa 2 na dakika 30) kupigisha kura watu 500.
 

Kila kituo wanaingia watu wawili hadi watatu kwa pamoja kupiga kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…