cabhatica
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 1,081
- 480
Kama kituo kina wapiga kura 500. Kila mpiga kura atahitaji si chini ya dakika tatu (3) kuingia kwenye chumba kupiga kura na kutoka ( kwa uzoefu wangu wapo wanaochukuwa hata dakika kumi).
Hisabati inaniambia watu 500 x dakika 3=1500(dakika)
dakika 1500/60 = masaa 25.
Wana JF hivi tume imetoa siku ngapi kupiga kura?
NJOONI TUSEMEZANE!!!!!?????
Hisabati inaniambia watu 500 x dakika 3=1500(dakika)
dakika 1500/60 = masaa 25.
Wana JF hivi tume imetoa siku ngapi kupiga kura?
NJOONI TUSEMEZANE!!!!!?????