Tatizo sio mfumo,
Nchi kama Marekani, South Korea na Brazil zinatumia Presidential system, na bado ni moja kati ya nchi zenye mafanikio makubwa zaidi duniani.
Haijalishi unatumia mfumo bora kiasi gani, as long as utahitaji watu kuuendesha au watu kama sehemu muhimu ya huo mfumo
Kama hao watu ni wendawazimu, mfumo mzima utaonekana wa kijinga.
Unaweza kuwa na hata mfumo wa ki dikteta na ukaonekana mzuri kama watu wanaounda huo mfumo wana maslahi mapana ya nchi kichwani na miyoni mwao.
Issue sio system, issue ni incompetent leaders wanaounda hio system, huwezi ongozwa na wajinga na mambo yakaenda sawa
Na wajinga hawa wapo vyama vyote.
Tatizo la hapa kwetu halijawahi kuwa chama, wala mfumo.