TUNAHITAJI parliamentary democracy (system ) sio kuendelea chini ya Presidential democracy (system )

TUNAHITAJI parliamentary democracy (system ) sio kuendelea chini ya Presidential democracy (system )

Hili wengi tunaojitambua tumeliongelea Sana. Lakini Kwa hapa kwetu chanzo na mwendelezo wa tatizo unajulikana. Walioko madarakani wanajitahidi kudumisha Hali iliyopo (Status quo) Kwa vile inalinda maslahi yao binafsi hata kama haigusi maslahi ya Taifa.
Na kweli huu mfumo uliopo watawala wanaupenda sana na hawaoneshi hali ya kutaka kuuacha
 
Kuna mwamba alitoka bungeni akisema anaenda kuimarisha chama ambcho kilikuwa na zaidi ya 95% ya wabunge
 
Awali ya yote wacha niweke wazi kuwa mimi sio muumini wa Presidential system bali ila ni mfuasi mkubwa wa Parliamentary system.

Kwa kweli kwa namna yoyote ile kama taifa tulikosea pakubwa wakati Nyerere anakabidhiwa nchi kwa kuhamisha mfumo wa Taifa kutoka mamlaka kwa bunge kwenda mamlaka yote kuhodhiwa na taasisi ya Urais.

Hilo kwangu lilikuwa kosa kubwa, kwa hakika kwa sasa kama taifa tunaumizwa na huu mfumo wa Presidential system ambao rais kwa kiasi kikubwa ndie muamuzi wa kila kitu hapa nchini bunge ni jumba la makumbusho tu halina maana wala nguvu yoyote kiasi hicho dhidi ya Rais.

Huu mfumo wa Presidential system kwa kiasi kikubwa hapa nchini unaondoa uwajibikaji unaohitaji kwa Rais ni kwa namna gani mtaweza kumfuta Rais na kuchagua mwingine kwa kipindi kifupi kutokana na upuuzi wowote atakao fanya( hapana hii itakuwa ngumu sana).

Ila Parliamentary system kwa kiasi kikubwa unaongeza uwajibikaji kwa mawaziri na waziri mkuu muda wowote anaweza wajibishwa kwa namna yoyote na kuchaguliwa mwengine atakaye sogeza gurudumu la taifa mbele bila shida yoyote.

Kwenye Parliamentary democracy waziri mkuu hawezi kusema nimeamua kukaa kimya katika ajenda kubwa inayo endelea kulitikisa taifa lazima alazimishwe na bunge mara moja atoe maelekezo akishindwa moja kwa moja anawajibishwa na bunge.

TURUDI PARLIAMENTARY DEMOCRACY TULIO ACHIWA NA MKOLONI NA KUACHANA NA HUU UPUUZI WA PRESIDENTIAL DEMOCRACY MARA MOJA
Naunga mkono hoja, hii madaraka yote ya nchi kupewa rais ndio imechangia mifumo yote kuwa dhaifu, na kufanya kwa maagizo kutoka juu, kuliko kufuata katiba na sheria. Na ubovu unaongezeka maana rais hashitakiwi akiwa madarakani au ametoka.
 
Tatizo sio mfumo,
Nchi kama Marekani, South Korea na Brazil zinatumia Presidential system, na bado ni moja kati ya nchi zenye mafanikio makubwa zaidi duniani.

Haijalishi unatumia mfumo bora kiasi gani, as long as utahitaji watu kuuendesha au watu kama sehemu muhimu ya huo mfumo

Kama hao watu ni wendawazimu, mfumo mzima utaonekana wa kijinga.

Unaweza kuwa na hata mfumo wa ki dikteta na ukaonekana mzuri kama watu wanaounda huo mfumo wana maslahi mapana ya nchi kichwani na miyoni mwao.

Issue sio system, issue ni incompetent leaders wanaounda hio system, huwezi ongozwa na wajinga na mambo yakaenda sawa

Na wajinga hawa wapo vyama vyote.

Tatizo la hapa kwetu halijawahi kuwa chama, wala mfumo.
 
Naunga mkono hoja, hii madaraka yote ya nchi kupewa rais ndio imechangia mifumo yote kuwa dhaifu, na kufanya kwa maagizo kutoka juu, kuliko kufuata katiba na sheria. Na ubovu unaongezeka maana rais hashitakiwi akiwa madarakani au ametoka.
Kwetu Rais ni small god hagusiki hata kidogo
 
Tatizo sio mfumo,
Nchi kama Marekani, South Korea na Brazil zinatumia Presidential system, na bado ni moja kati ya nchi zenye mafanikio makubwa zaidi duniani.

Haijalishi unatumia mfumo bora kiasi gani, as long as utahitaji watu kuuendesha au watu kama sehemu muhimu ya huo mfumo

Kama hao watu ni wendawazimu, mfumo mzima utaonekana wa kijinga.

Unaweza kuwa na hata mfumo wa ki dikteta na ukaonekana mzuri kama watu wanaounda huo mfumo wana maslahi mapana ya nchi kichwani na miyoni mwao.

Issue sio system, issue ni incompetent leaders wanaounda hio system, huwezi ongozwa na wajinga na mambo yakaenda sawa

Na wajinga hawa wapo vyama vyote.

Tatizo la hapa kwetu halijawahi kuwa chama, wala mfumo.
Yes, tunawatu wapuuzi katika system pia system ina ubovu mkubwa kwa uimara wa taifa nchi kama U.S.A mabunge yao yote yana nguvu kama ilivyo tu taasi ya Urais hakuna wa kumtawala mwenzake Presidential democracy ya U.S.A ni tofauti na ya hapa bongo
 
Awali ya yote wacha niweke wazi kuwa mimi sio muumini wa Presidential system ila ni mfuasi mkubwa wa Parliamentary system.

Kwa kweli kwa namna yoyote ile kama taifa tulikosea pakubwa wakati Nyerere anakabidhiwa nchi kwa kuhamisha mfumo wa Taifa kutoka mamlaka kwa bunge kwenda mamlaka yote kuhodhiwa na taasisi ya Urais.

Hilo kwangu lilikuwa kosa kubwa, kwa hakika kwa sasa kama taifa tunaumizwa na huu mfumo wa Presidential system ambao rais kwa kiasi kikubwa ndie muamuzi wa kila kitu hapa nchini bunge ni jumba la makumbusho tu halina maana wala nguvu yoyote kiasi hicho dhidi ya Rais.

Huu mfumo wa Presidential system kwa kiasi kikubwa hapa nchini unaondoa uwajibikaji unaohitaji kwa Rais ni kwa namna gani mtaweza kumfuta Rais na kuchagua mwingine kwa kipindi kifupi kutokana na upuuzi wowote atakao fanya( hapana hii itakuwa ngumu sana).

Ila Parliamentary system kwa kiasi kikubwa unaongeza uwajibikaji kwa mawaziri na waziri mkuu muda wowote anaweza wajibishwa kwa namna yoyote na kuchaguliwa mwengine atakaye sogeza gurudumu la taifa mbele bila shida yoyote.

Kwenye Parliamentary democracy waziri mkuu hawezi kusema nimeamua kukaa kimya katika ajenda kubwa inayo endelea kulitikisa taifa lazima alazimishwe na bunge mara moja atoe maelekezo akishindwa moja kwa moja anawajibishwa na bunge.

TURUDI PARLIAMENTARY DEMOCRACY TULIO ACHIWA NA MKOLONI NA KUACHANA NA HUU UPUUZI WA PRESIDENTIAL DEMOCRACY MARA MOJA
Kiongozi hili jambo ni muhimu sana na mimi naunga mkono hoja kwa kuwa Jambo lolote halitakalo Rais ndio linalazimishwa liwe hata kama halina maslahi kwa Taifa, kama hilivyo sasa Rais Samia anautaka mkataba wa Bandari kuliko Mtanzania yoyote yule, kumkosoa, Kuhoji au kumshauri ni uadui, sio sawa, nchi yetu sote lazima Rais ahojiwe.
 
Kwetu Rais ni small god hagusiki hata kidogo
Na kosa hili lilifanyika wakati wa Nyerere baada ya kutungwa katiba ya kumfurahisha na kuhakikishia anabaki madarakani atakavyo. Matokeo yake kwa sasa mifumo yote iko kumuogopa na kumsujudia rais. Kwa bahati mbaya sana, mfumo huu hautaweza kutoka kwa njia ya amani, bali machafuko ama mapinduzi ya kijeshi.
 
Na kosa hili lilifanyika wakati wa Nyerere baada ya kutungwa katiba ya kumfurahisha na kuhakikishia anabaki madarakani atakavyo. Matokeo yake kwa sasa mifumo yote iko kumuogopa na kumsujudia rais. Kwa bahati mbaya sana, mfumo huu hautaweza kutoka kwa njia ya amani, bali machafuko ama mapinduzi ya kijeshi.
Yes, tawala zote zilizokuwa na madaraka ya Kimungu hapa dunia historia inatuelekeza kuwa hazikudodoka kwa amani bali fujo
 
Na kosa hili lilifanyika wakati wa Nyerere baada ya kutungwa katiba ya kumfurahisha na kuhakikishia anabaki madarakani atakavyo. Matokeo yake kwa sasa mifumo yote iko kumuogopa na kumsujudia rais. Kwa bahati mbaya sana, mfumo huu hautaweza kutoka kwa njia ya amani, bali machafuko ama mapinduzi ya kijeshi.
Umesema point sn
 
Back
Top Bottom