Tunahitaji watu jasiri kama Vicent Nyerere kuja kuupinga muungano

Tunahitaji watu jasiri kama Vicent Nyerere kuja kuupinga muungano

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Kwangu swala la muungano ni la kipuuzi hadi KuzuA mjadala na kuacha maswala ya msingi. Kwa maoni yangu muungano uvunjwe tu tuanze kujadili maswala ya msingi ya taifa. Historia inaonesha mataifa yaliyotengana huwa na ushindani na huendelea haraka kama korea kusini, hong Kong , ethiopia eritria israel na palestina dola ya Rumi sahara magharibi na nk.

Pili muungano huwa na maana kwa nchi zilizoendelea kiuchumi zinazoshirikiana kuendelea kama umoja wa ulaya USA. data ujerumani na sasa Rusia. lakini zamani ata urusi ilisambaratika.sio masikini kama tanganyika na zanzibar zinapokwama kisingizio muungano wakati ni viongozi wezi. Vipi tuofie usalama wa tanganyika baada ya kuvunjika muungano wakati tanganyika ilikuwepo hata kabla muungano. tumepakana na nchi za vita kibao na tuko salama.

muungano ungekuwa Mzuri sana lethoto na Swaziland zingeukimbilia kwani zimezungukwa na south afrika na hazihofii usalama.
tukitengana wazanzibari na wapemba tutaingiliana na kuhusiaana bila kusumbuana na si kufukuzana mbona tuko na wachina kibao na wanamiliki ardhi bongo Vicent najua unaujasiri tuukatae muungano tupunguze mijadala tuijenge taganyika.

ivi ni faida gani iliyopata tanganyika kutokana na muungano kuwazidi Unguja na pemba? ni usalama gani nchi kama lethoto na swaziland iliukosa hata hata wakati wa south africa haijawa huru.
mm
 
Huyo V. Nyerere ana ujasiri gani wewe?.
 
Umoja ni nguvu kweli lakini muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni udhaifu. Kama ungekuwa na maana na faida zisizokuwa za kibinafsi zanzibar wasingeng'ang'ania kutengana. Bora tutengane wawe kivyao tuwe kivyetu, kwani kuna faida gani kuwa na muungano?
 
Hivi ukitumwa watu jasiri utmpeleka Vicent?
Ukamuacha

1. Wassira
2. Mwakyembe
3.Ole sendeka.
4.Nchemba
5. Magufuli.

Nadhani nyie vijana hotuba ya Jakaya imewavuruga.
 
“Natoa tahadhari, msiige uzoefu kutoka nchi nyingine, inaweza kuwa isiwe na faida kwenu, hii siyo Biblia," alisema.-BY-PROF.AMOS WAKO,MWANASHERIA MKUU MSTAAFU KENYA.
 
Wewe ndiye uliyevurugwa,hebu tuambie faida ya muungano ni ipi?halafu jk boya kweli anasema tanzania kwanza huku akisisitiza msimamo chama chake,kwanini asifuate matakwa ya wananchi?
Hao uliowataja wana ujasiri gani zaidi ya kufuata mkumbo?olesendeka alitoa machozi kwenye kikao chao,mwanaume gani unayelia mambo yakiwa magumu?boya wewe
 
Itisha Kura ya Maoni nchi nzima pata Muafaka wa hii Kitu Muungano kila Mtanzania sasa ni Mweredi wa mambo.
 
Itisha Kura ya Maoni nchi nzima pata Muafaka wa hii Kitu Muungano kila Mtanzania sasa ni Mweredi wa mambo.

Kama sanduku la kura lingekuwa linatoa kile wananchi wanataka basi viongozi wengi waliopo tusingekuwa nao. CCM hawataki katiba mpya ya wananchi..
 
Wale ambao tumeungana nao hawautaki salsa nyie mnaulazimisha muungno kwanini?
 
wewe ndiye uliyevurugwa,hebu tuambie faida ya muungano ni ipi?halafu jk boya kweli anasema tanzania kwanza huku akisisitiza msimamo chama chake,kwanini asifuate matakwa ya wananchi?
Hao uliowataja wana ujasiri gani zaidi ya kufuata mkumbo?olesendeka alitoa machozi kwenye kikao chao,mwanaume gani unayelia mambo yakiwa magumu?boya wewe

kweli nepi nene haistili mavi au haiifadhi mavi vivo hivyo hata akili yako haiko na utayali wa kuwaza wa kujua lipi zuri na lipi baya sababu tu ya utobwe wako inaelekea wewe ni mkimbizi ndani ya nchi hii na wanaotaka muungano ufe wooote ni wakimbizi sasa muungano haufi
 
Umoja ni nguvu kweli lakini muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni udhaifu. Kama ungekuwa na maana na faida zisizokuwa za kibinafsi zanzibar wasingeng'ang'ania kutengana. Bora tutengane wawe kivyao tuwe kivyetu, kwani kuna faida gani kuwa na muungano?
Huu Muungano wa Ajabu uliosalia Duniani kwani Hauna Faida kwa Watanganyika Bali wanaopata Faida ya Muungano ni Wazanzibar tu . Kuna Wajanja wanakula Pesa kupitia Wizara ya Muungano eti kwa kisingizio cha kuondoa Kero za Muungano ! Fedha nyingi zimeliwa na kero zipo pale pale hazipungui Hakuna wa kuhoji Matumizi ya hizo Fedha ! Tambua Kuwa Pato la Taifa kwa 98% linapatikana Tanganyika lakini Hilo Pato wanafaidi Zanzibar ktk Nyanja mbali , Mfano wao ni Nchi ndogo lakini wana Utitiri wa wabunge na Viongozi wengi huku Mishahara na posho zikilipwa na Tanganyika ! Umeme chakula nk vyote vinatoka Tanganyika lakini Wazanzibar wanakula wakishiba wanawasha Vuvuzela kisha Tanganyika anahaha kuwabembeleza kwa gharama kubwa huku wajanja wakitumia Fursa hiyo kujinufaisha Binafsi , hao wanaofaidi matunda ya muungano Ndio wanaung'ang'ania muungano lakini ktk Hali ya kawaida tu Huu muungano hauna Faida tena kwa Tanganyika.
 
Wewe ndiye uliyevurugwa,hebu tuambie faida ya muungano ni ipi?halafu jk boya kweli anasema tanzania kwanza huku akisisitiza msimamo chama chake,kwanini asifuate matakwa ya wananchi?
Hao uliowataja wana ujasiri gani zaidi ya kufuata mkumbo?olesendeka alitoa machozi kwenye kikao chao,mwanaume gani unayelia mambo yakiwa magumu?boya wewe

Ww ---- akili zako zipo kwenye chupi. Acha matusi. Tunajua akili yako mgando.
 
Nyie tulieni mjengewe nchi. Ccm wanajua. Muungano hauwezi kuvunjika. Labda muungano wa watu wa kaskazini na wakristo ndio utavunjika.
 
Kama Wanataka Muungano Digtal wajifunze toka Marekani kuna Muungano wa Nchi 52 Hakuna kero za muungano wala Wizara za muungano wala utitiri wa wabunge kwenye zile Nchi ndogo ,hawana mambo ya ajabu ajabu Kama yaliyopo kwenye muungano wetu (muungano Analogia) .Tatizo kubwa kwenye Muungano wa Tanzania ni Zanzibar Kuwa mjanja kuliko Tanganyika yaani Tanganyika amekuwa buzi. anachunwa hajielewi hata akishituliwa anachachawa tu !
 
Itisha Kura ya Maoni nchi nzima pata Muafaka wa hii Kitu Muungano kila Mtanzania sasa ni Mweredi wa mambo.

Wale wachache wajanja wanaofaidi Matunda ya Fedha zinazotumika kuubembeleza Muungano hawawezi kukubali kura ya maoni , Maana itaharibu ulaji wao , kaa ukijua Fedha ya kuubembeleza muungano haina Mkaguzi wa Hesabu inatumika tu ! Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikari hagusi hapo ! hizo pesa ndizo nguzo ya kudumisha kero za muungano yaani ni ile methali ya kufa kufaana Watanganyika wanalia njaa wajanja wanatafuna pesa kwa kisingizio cha kuondoa kero za muungano
 
Back
Top Bottom