Tunahitaji watu jasiri kama Vicent Nyerere kuja kuupinga muungano

Tunahitaji watu jasiri kama Vicent Nyerere kuja kuupinga muungano

kwangu swala la muungano ni la kipuuzi hadi KuzuA mjadala na kuacha maswala ya msingi
kwa maoni yangu muungano uvunjwe tu tuanze kujadili maswala ya msingi ya taifa
historia inaonesha mataifa yaliyotengana huwa na ushindani na huendelea haraka kama korea kusini, hong Kong , ethiopia eritria israel na palestina dola ya Rumi sahara magharibi na nk.
pili muungano huwa na maana kwa nchi zilizoendelea kiuchumi zinazoshirikiana kuendelea sio masikini kama tanganyika na zanzibar zinapokwama kisingizio muungano wakati ni viongozi wezi
vip tuofie usalama wa tanganyika baada ya kuvunjika muungano wakati tanganyika ilikuwepo hata kabla muungano. tumepakana na nchi za vita kibao na tuko salama.
muungano ungekuwa Mzuri sana lethoto na Swaziland zingeukimbilia kwani zimezungukwa na south afrika na hazihofii usalama.
tukitengana wazanzibari na wapemba tutaingiliana na kuhusiaana bila kusumbuana na si kufukuzana mbona tuko na wachina kibao na wanamiliki ardhi bongo Vicent najua unaujasiri tuukatae muungano tupunguze mijadala tuijenge taganyikann

Kweli tupu
 
Pesa inayotumika kulinda muungano ni nyingi sana laiti ingelitumika kuimarisha huduma za Jamii Leo hii tungelikuwa na Hospt kila kijiji huku barabara nazo zikiwa nzuri Nchi nzima . Tanganyika ni Nchi tajiri wa Rasilimali za kila aina lakini inabakia Kuwa masikini kwa kung'ang'ania kuwalea wana visiwa , sasa wanawachuna hadi wamebaki ngozi ! Chezea wana visiwa wewe.........
 
Muungano ni muhimu...umoja ni nguvu.

sawa lakini muungano ambao mnapoteza nguvu zenu zote kuujadili unakuwa kinyume na unavyosema. Ndio maana werevu wanapendekeza muundo wake uangaliwe na wasio werevu wanang'ang'ana na status quo
 
Hivi ukitumwa watu jasiri utmpeleka Vicent?
Ukamuacha

1. Wassira
2. Mwakyembe
3.Ole sendeka.
4.Nchemba
5. Magufuli.

Nadhani nyie vijana hotuba ya Jakaya imewavuruga.

wewe ni wa kupuuzwa,hawa wachumia tumbo ndo unataka kuwalinganisha na jembe Mh Vicent!
 
Muungano gani huu

Watanganyika kule Unguja wanadaiwa vitambulisho halafu wapemba huku Tanganyika wanaishi kama peponi....puu

Unafiki wa wanasiasa huu, hakuna muungano. Zanzibar ni nchi, mwaka 1964 Zanzibar ilikuwa ni nchi? Ndo Muungano katuachia Nyerere?

kama ni Muungano basi iwe nchi moja, Unguja na Pemba ziwe ni mikoa

Ama iwe serikali 3.

Kuna umuhimu gani wa kumpenda Zanzibar wakati EAST AFRICA FEDERATION INAKUJA?
 
Kwa sasa hamna mtu jasiri tz wote wachumia tumboni,maana hata viongozi wetu wote wamebaki usis, utawasikia sis ssm,sis.sdm.suf,
 
Muungano hauna maana ila kwa viongozi tu wananchi hatunafaida nao.
 
Muungano wa watu 1,500,00 dhid ya watu wa watu 45,000,000 unaweza kusema umoja ni nguvu kumbuka idadi ya watu wa zanzibar ni sawa na idadi ya watu wa wilaya ya Temeke.

Muungano ni muhimu...umoja ni nguvu.
 
Huu muungano ni wa ajabu sana. Japo Sina nia ya kuwabeza waasisi wake tangu lini watu wawili waamue muungano? Nyerere alifanya kazi kutuletea Uhuru lakini alikosea sana kwenye muungano. Tangu a wali ilitakiwa Zanzibar iwe kama mkoa au tuwe na muungano Wa mkataba.
 
Back
Top Bottom