BestOfMyKind
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 1,350
- 1,464
Yaani kama una uhai leo jua utakuja kufa tu.
Kwahiyo punguza kuchakarika, kujivimbisha, kutukana watu.
Utakufa na hutokuwepo tena duniani.
Kiburi na majivuno yako yote hayatakua na maana na wala havitakuwepo duniani tena.
Umezaliwa ili uje ufe na hili haliepukiki.
Kwahiyo punguza kuchakarika, kujivimbisha, kutukana watu.
Utakufa na hutokuwepo tena duniani.
Kiburi na majivuno yako yote hayatakua na maana na wala havitakuwepo duniani tena.
Umezaliwa ili uje ufe na hili haliepukiki.