Tunaishi katika sayari tofauti kabisa kimaono, na hii ndio inatofautisha timu kubwa na timu kongwe

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
  • Al Ahly amewahi kuchukua Ubingwa wa Kombe la Shirikisho mara moja tu tena miaka 9 iliyopita
  • Wydad Casablanca hajawaji kuchukua Ubingwa wa Shirikisho hata group Stage hajawahi kucheza
  • Mamelod hajawahi hata kushiriki Kombe la Shirikisho na halijui
  • Esparance hajawahi kushiriki hata hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho
  • Zamalek imechukua ubingwa wa Shirikiaho mara moja tuuu
Umeelewa nini?!!

Kombe la Shirikisho sio kipaumbele cha timu cha sisi timu kubwa, hatutamani kushiriki kombe hilo kwa sababu haliakisi mafanikio na ukubwa wetu

Kwanini hatuvutiwi sana na Kombe la Shirikisho, Kwa sababu inashirikisha timu ndogondogo na timu mpya ndo maana kila siku unasikia majina mapya kina KMC, Biashara Geita, Namungo na wengine wadogo wadogo katika nchi zao

๐”๐ค๐ข๐จ๐ง๐š ๐Œ๐ณ๐ž๐ž ๐š๐ง๐š๐Ÿ๐ฎ๐ซ๐š๐ก๐ข๐š ๐Š๐จ๐ฆ๐›๐ž ๐ฅ๐š ๐’๐ก๐ข๐ซ๐ข๐ค๐ข๐ฌ๐ก๐จ ๐ฃ๐ฎ๐š ๐š๐ฆ๐ž๐ค๐ฐ๐š๐ฆ๐š
View attachment 2597872
 
CC:Rage aione jaladani.
 
Rage Apewe Tuzo
 

Uefa Champions league
Uefa Europe Champions league
Uefa Conference Champions league

Legeza shingo uli uelewe
 
Uefa Champions league
Uefa Europe Champions league
Uefa Conference Champions league

Legeza shingo uli uelewe
Umeandika utopolo gani hapa mkuu???[emoji1787][emoji1787]
 
Kuna timu hapa nchini mkuu kombe la shirikisho walienda na vyungu vyenye Moto huko kwa madiba ili waweze kushinda

Nimesahau jina la timu naomba nikumbushe mkuu
 
Hayo ni mashindano yanahusisha vilabu vikubwa ulaya
Barca juzi tulimuona Uerope league = Shirikisho
Hakuna mashindano madogo ktk Caf lbd ya kombe la mapinduzi
Mshajisahaulisha masikini weeeeh
 
CAF hawalithamini kabisa shirikisho ndiyo maana hata video zake wanashutia Tekno. Simba wakomae huko huko Klabu Bingwa mpaka siku kieleweke.

Kuna timu ilikuwa na malengo ya kufika walau makundi kwenye Champions League mwaka huu ila wameshindwa kuyatimiza ila wana mdomo hao. Wahenga walisema, usipojua unapokwenda, njia yoyote itakufikisha.
 
Ushawahi kuona Madrid au Simba anawaza kuchukua shirikisho au uropa team ndogo kama utopolo na arsenal ndo zinawaza

Mlivyo icopy kwa ahmed ally mmekuja nayo ivyo ivyo bila hta kuingโ€™amua taarifa yenyewe
Siku hzi mpira umebadilika na maboresho yamefanyika
Last season [emoji881] si alikuwa shirikisho
 
Simba msimu uliopita katika kombe la shirikisho ndipo walipo li dhalilisha Taifa Kwa kupigwa fain na kupewa Onyo na shirikisho la soka Barani Afrika baada ya kukamatwa wakifanya vitendo vya kishirikina uku wakiwasha moto uwanjani uko bondeni Kwa Madiba.

Timu ya Simba imewekwa rekodi yakuwa Timu inayo jihusiaha na vitendo vya kishirikina Hadharani wakiamini vitendo vya kichawi vita isaidia kupata matokeo chanya kwenye mchezo wa soka.

Jambo la ajabu na aibu picha mnato zimebandikwa katika Kuta za office za shirikisho la soka Barani Afrika CAF zikiwaonyesha wachezaji wa Simba ya Tanzania wakifanya vitendo mbalimbali vya kishirikina ikiwa kama kumbukumbu ya mpira katika baadhi ya nchi unavyo endeshwa.
 
Waarabu kila siku wanawasha si tu moto, bali uwanja mzima unafunikwa kwa ukungu wa moshi mzito na kuna wakati wanapata magoli katika mazingira hayo hayo ila hilo unaona sawa, mnadai ni vibe lao tu. Simba kuwasha moto ili Kibu na Mkude wapige pafu mbili tatu za msuba wachangamshe mwili mnaona nongwa. Acheni utumwa wa fikra.
 
Msinge pigwa fine na matukio yenu ya picha za kishirikina kuwekwa katika Kuta za office za CAF pale Cairo Kwaajili ya kumbukumbuku Kwa wakufunzi wanao toa semina mbalimbali barani Afrika Ili timu kuondokana na mindset za kipuuzi.
Bahati mbaya heading zina soma Simba ya Tanzania Bora wangeweka Neno Simba tu ingetosha
 
Mlivyo icopy kwa ahmed ally mmekuja nayo ivyo ivyo bila hta kuingโ€™amua taarifa yenyewe
Siku hzi mpira umebadilika na maboresho yamefanyika
Last season [emoji881] si alikuwa shirikisho
Ibaki tu kusema kuwa shirikisho ni kombe la waliofeli na timu zinazochipukia...ndio sababu CR7 alivyoona Man utd hawashiriki UEFA akaomba kuondoka maana europa sio kipaumbele chake.....

Namungo
Kmc
Yanga
Geita

Hawa ndio watu wa luzaz[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Berkane, Esperance na Wydad wote wamewahi kupigwa faini kwa vitendo hivyo hivyo na moto wao ni mkubwa zaidi. Acha utumwa wa fikra.

Nawaza siku Simba waanzishe moto halafu moshi wake ufunike uwanja mzima, sijui mtasemaje. Hata juzi wengi wenu mliishutumu Simba kwa ule moshi hadi mlipokuja kujua ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ