DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
- Al Ahly amewahi kuchukua Ubingwa wa Kombe la Shirikisho mara moja tu tena miaka 9 iliyopita
- Wydad Casablanca hajawaji kuchukua Ubingwa wa Shirikisho hata group Stage hajawahi kucheza
- Mamelod hajawahi hata kushiriki Kombe la Shirikisho na halijui
- Esparance hajawahi kushiriki hata hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho
- Zamalek imechukua ubingwa wa Shirikiaho mara moja tuuu
Kombe la Shirikisho sio kipaumbele cha timu cha sisi timu kubwa, hatutamani kushiriki kombe hilo kwa sababu haliakisi mafanikio na ukubwa wetu
Kwanini hatuvutiwi sana na Kombe la Shirikisho, Kwa sababu inashirikisha timu ndogondogo na timu mpya ndo maana kila siku unasikia majina mapya kina KMC, Biashara Geita, Namungo na wengine wadogo wadogo katika nchi zao
๐๐ค๐ข๐จ๐ง๐ ๐๐ณ๐๐ ๐๐ง๐๐๐ฎ๐ซ๐๐ก๐ข๐ ๐๐จ๐ฆ๐๐ ๐ฅ๐ ๐๐ก๐ข๐ซ๐ข๐ค๐ข๐ฌ๐ก๐จ ๐ฃ๐ฎ๐ ๐๐ฆ๐๐ค๐ฐ๐๐ฆ๐
View attachment 2597872