changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Ni kweli kabisa Simba kuonesha kuwa hawalitaki kombe la CAF confederation, waliamua kujitoa kushiriki baada ya kuangukia kwenye shirikisho msimu uliopita. Ila cha ajabu Namungo sijui ni Azam wale, wakaenda ugenini kwa kutumia kila mbinu ili aweze kufuzu ikiwemo kuwasha moto kunakohusisha na ushirikinan.Ushawahi kuona Madrid au Simba anawaza kuchukua shirikisho au uropa team ndogo kama utopolo na arsenal ndo zinawaza
Na kingine ni kwamba Real madrid ana makombe mawili ya Europa league. ambapo zamani ilikuwa ikitambulika kama UEFA cup.