Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,183
- 3,660
Hata TBC2 sijui kama bado ipo ilikuwa inamilikiwa na star times walikuwa wanatumia kibali cha serikali kuomba mechi lakini ili uone lazima uwe na kisimbusi cha star times
Ila kwa CHANI hii TBC inatutia aibu KBC na RWANDA TV wanaonyesha
TBC siku hizi mda mwingi wanautumia kuifagilia CHATO
Ila kwa CHANI hii TBC inatutia aibu KBC na RWANDA TV wanaonyesha
TBC siku hizi mda mwingi wanautumia kuifagilia CHATO