Tunaisubiri kamati ya masaa 72 kutoa adhabu kali kwa mtindo waliotumia wachezaji wa Mbeya City kushangilia

Tunaisubiri kamati ya masaa 72 kutoa adhabu kali kwa mtindo waliotumia wachezaji wa Mbeya City kushangilia

Tadadhalini kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi katika kikao chenu mnapopitia taarifa mbalimbali za mechi za Ligi Kuu tunaombeni mliwekee uzito hili jambo la staili ya ovyo waliyotumia Mbeya city kushangilia bao la kusawazisha.

Ni staili ambayo ipo kinyume na maadili wazi wazi, hapo uwanjani hata watoto wapo, wanafunzwa nini wanapoona wakubwa zao wakifanya huu ufuska.

Nimepitia mitandaoni nimekerwa kuona kwamba hadi memes zenye maneno machafu zimeshaanza kutengenezwa..

View attachment 2426515
Lia lia FC!
 
washamba, kwao kudroo ni ushindi
Ni haki yao kufurahia ushindi kwani simba ni timu nzito kwao.
Staili ya ushangiliaji hiyo sijaisemea.

Hata Saudi Arabia walitangaza mapumziko kwa kuifunga Argentina bila kujali ndoo mwanzo tu wa kucheza
 
Tadadhalini kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi katika kikao chenu mnapopitia taarifa mbalimbali za mechi za Ligi Kuu tunaombeni mliwekee uzito hili jambo la mtindo wa ovyo waliyotumia Mbeya city kushangilia bao la kusawazisha.

Ni mtindo ambao ipo kinyume na maadili wazi wazi, hapo uwanjani hata watoto wapo, wanafunzwa nini wanapoona wakubwa zao wakifanya huu ufuska?

Nimepitia mitandaoni nimekerwa kuona kwamba hadi 'memes' zenye maneno machafu zimeshaanza kutengenezwa.

View attachment 2426515
Tatizo sio ushangiliaji wao bali ni draw mliyoipata dhidi yao ndo inawaumiza
 
Tadadhalini kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi katika kikao chenu mnapopitia taarifa mbalimbali za mechi za Ligi Kuu tunaombeni mliwekee uzito hili jambo la mtindo wa ovyo waliyotumia Mbeya city kushangilia bao la kusawazisha.

Ni mtindo ambao ipo kinyume na maadili wazi wazi, hapo uwanjani hata watoto wapo, wanafunzwa nini wanapoona wakubwa zao wakifanya huu ufuska?

Nimepitia mitandaoni nimekerwa kuona kwamba hadi 'memes' zenye maneno machafu zimeshaanza kutengenezwa.

View attachment 2426515
Naunga mkono hoja ule ni upuluzi.
 
Tadadhalini kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi katika kikao chenu mnapopitia taarifa mbalimbali za mechi za Ligi Kuu tunaombeni mliwekee uzito hili jambo la mtindo wa ovyo waliyotumia Mbeya city kushangilia bao la kusawazisha.

Ni mtindo ambao ipo kinyume na maadili wazi wazi, hapo uwanjani hata watoto wapo, wanafunzwa nini wanapoona wakubwa zao wakifanya huu ufuska?

Nimepitia mitandaoni nimekerwa kuona kwamba hadi 'memes' zenye maneno machafu zimeshaanza kutengenezwa.

View attachment 2426515
Waporipori hao ni kuwapotezea tu
 
MTAKUJA UANA KILA MTU akisema hata kama ni kweli mnakanusha au vita mpaka mtu akatwe shingo ndo mtaelewa.
Sema tu hali mbaya kanywe maji..........labda mtauana nyie mikia
 
Hayo mengine unayaongeza wewe ,wenzio wanashangilia goli a.k bao.
 
Back
Top Bottom