Lia lia FC!Tadadhalini kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi katika kikao chenu mnapopitia taarifa mbalimbali za mechi za Ligi Kuu tunaombeni mliwekee uzito hili jambo la staili ya ovyo waliyotumia Mbeya city kushangilia bao la kusawazisha.
Ni staili ambayo ipo kinyume na maadili wazi wazi, hapo uwanjani hata watoto wapo, wanafunzwa nini wanapoona wakubwa zao wakifanya huu ufuska.
Nimepitia mitandaoni nimekerwa kuona kwamba hadi memes zenye maneno machafu zimeshaanza kutengenezwa..
View attachment 2426515
Ni haki yao kufurahia ushindi kwani simba ni timu nzito kwao.washamba, kwao kudroo ni ushindi
Kwa hiyo iwe sheria au tuifanye kanuniPunguza mahaba wewe kolo hapo wanaigiza kukojoa kama mbwa ila wanamaanisha kuwa tumewakojolea.acha kujitoa ufahamu
Tatizo sio ushangiliaji wao bali ni draw mliyoipata dhidi yao ndo inawaumizaTadadhalini kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi katika kikao chenu mnapopitia taarifa mbalimbali za mechi za Ligi Kuu tunaombeni mliwekee uzito hili jambo la mtindo wa ovyo waliyotumia Mbeya city kushangilia bao la kusawazisha.
Ni mtindo ambao ipo kinyume na maadili wazi wazi, hapo uwanjani hata watoto wapo, wanafunzwa nini wanapoona wakubwa zao wakifanya huu ufuska?
Nimepitia mitandaoni nimekerwa kuona kwamba hadi 'memes' zenye maneno machafu zimeshaanza kutengenezwa.
View attachment 2426515
Hata mimi naona haiko sawa.
Naunga mkono hoja ule ni upuluzi.Tadadhalini kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi katika kikao chenu mnapopitia taarifa mbalimbali za mechi za Ligi Kuu tunaombeni mliwekee uzito hili jambo la mtindo wa ovyo waliyotumia Mbeya city kushangilia bao la kusawazisha.
Ni mtindo ambao ipo kinyume na maadili wazi wazi, hapo uwanjani hata watoto wapo, wanafunzwa nini wanapoona wakubwa zao wakifanya huu ufuska?
Nimepitia mitandaoni nimekerwa kuona kwamba hadi 'memes' zenye maneno machafu zimeshaanza kutengenezwa.
View attachment 2426515
Waporipori hao ni kuwapotezea tuTadadhalini kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi katika kikao chenu mnapopitia taarifa mbalimbali za mechi za Ligi Kuu tunaombeni mliwekee uzito hili jambo la mtindo wa ovyo waliyotumia Mbeya city kushangilia bao la kusawazisha.
Ni mtindo ambao ipo kinyume na maadili wazi wazi, hapo uwanjani hata watoto wapo, wanafunzwa nini wanapoona wakubwa zao wakifanya huu ufuska?
Nimepitia mitandaoni nimekerwa kuona kwamba hadi 'memes' zenye maneno machafu zimeshaanza kutengenezwa.
View attachment 2426515
Sema tu hali mbaya kanywe maji..........labda mtauana nyie mikiaMTAKUJA UANA KILA MTU akisema hata kama ni kweli mnakanusha au vita mpaka mtu akatwe shingo ndo mtaelewa.
Ha ha haSema tu hali mbaya kanywe maji..........labda mtauana nyie mikia
Upuluzi eee au uwûpuluziNaunga mkono hoja ule ni upuluzi.