tunajenga tunabomoa ??

tunajenga tunabomoa ??

Romance

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2011
Posts
585
Reaction score
159
mimi najua humu ni jukwa la great thinkers sasa mtu anpofanya kosa na kumchekea tunajenga


tunabomoa? alafu ukiweka post ili turekebishane ana tetewa kwa kufuta post.
 
Ongea kwa mifano tukuelewe

taja hizo post pia
 
Ongea kwa mifano tukuelewe

taja hizo post pia


nimetuma post chit chat ikiwi page mbili tu na sijatusi imefutwa nimeenda complait nimetuma post imefika page 6 imetolewa pia kwa ajili ya mtu

mmoja bado sijaelewa kwa nini hali hapa jf watu wanafungua post za watu tofauti na zipo mpaka sasa what is so spesho? yote hayo ndani ya masa

ma tatu.
 
mhh jamani leo kuna nini huku...ngoja niende zangu Travetine mie!
 
mhh jamani leo kuna nini huku...ngoja niende zangu Travetine mie!



sipendi watu wakunichafulia post yangu huna la mana la kuongea ondoka kimya kimya na ongeza idadai ya post zako sehemu nyingine.
 
sipendi watu wakunichafulia post yangu huna la mana la kuongea ondoka kimya kimya na ongeza idadai ya post zako sehemu nyingine.
aaaaiiiiiiiii,kumbe bora hata ulivyokuwa na miny..e
 
Usijali soon na hii siredi Invissible ataingoa ikitinga second page....Wewe kumbe humjui invissible...
 
Back
Top Bottom