Tunajifunza nini katika kisa cha Yusuph

Tunajifunza nini katika kisa cha Yusuph

Jf sio kanisa Wala msikiti. hizo porojo zenu kapigianeni huko mnako jazana ujinga Kama Ni msikitini huko huko Kama Ni kanisani huko huko msitusmbue
Acha upumbavu hili jukwaa ni huru na kila mtu ana Uhuru wa kuandika kitu chochote kinacho husiana na jamii kuanzia siasa,dini, uchumi, utamaduni na mambo yote yanayo husu Jamii na ndio inaitwa Jamii forum.
 
Basi mm siwezi kuliaccess mna sio kila mtu anaweza kuliona hilo jukwaa
Mwombe invisible akuunge tena mwambir huoni uzi wako ndo atakueka kama ilivyokua kwangu
 
Jf sio kanisa Wala msikiti. hizo porojo zenu kapigianeni huko mnako jazana ujinga Kama Ni msikitini huko huko Kama Ni kanisani huko huko msitusmbue
Usumbufu umeautaka mwenyewe Tu kwanini usingepita Bila kusoma na kwenda zako.

Kama huna interest na nyuzi Fulani achana nazo mkuu
 
Acha upumbavu hili jukwaa ni huru na kila mtu ana Uhuru wa kuandika kitu chochote kinacho husiana na jamii kuanzia siasa,dini, uchumi, utamaduni na mambo yote yanayo husu Jamii na ndio inaitwa Jamii forum.
Asante mkuu Kwa kumuweka Sawa huyo mpuuzi
 
Back
Top Bottom