Tunajifunza nini kuhusu kutimuliwa kwa Jeanine Mabunda kama Spika wa Bunge la Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo?

Sawa, Endelea itawezekana tu Mkiweza kuruhusu Mwenyekiti wa Chama chenu aache kuibadilisha katiba ili awe Mwenyekiti wa kudumu. Nyani kweli haoni kundule
Hivi unaweza kumlinganisha Mwenyekiti wetu na Mwenyekiti wenu?

Hivi wewe uliwahi kuona wapi ina-printiwa form moja tu ya kugombea Urais, kama kweli huyo Jiwe wenu anakubalika hapa nchini kama mnavyodai?
 
Hivi Spika wa Bunge aliapa kumtii Rais Magufuli au aliapa kuitii na kuiheshimu Katiba ya nchi?

Jibu utakalopata ndiyo argument yangu kuwa ni kwanini Spika Ndugai hatufai kwenye nafasi hiyo ya U-Spika na hivyo anapaswa ang'olewe
Utasubiri sana spika atolewe
 
Najifunza kuwa rais wa DRC naye anatamani udikteta. Ndiyo maana anataka kumweka soika atakayefuata maagizo yake.
 
Kwa Bunge la JMT usitarajie hilo kutokea. Badala yake Wabunge wanapigana vikumbo kujipendekeza Kwa Spika ili 'awaone'.
 
Nilichojifunza ni kuwa mfumo dume AFRICA una tabia mbaya wamemfukuza huyo spika sababu mwanamke kama ambavyo mfumo dume wa Chadema umewaonea kuwafukuza wabunge wanawake viti maalumu akina halima mdee na wenzie
 
Nilichojifunza ni kuwa mfumo dume AFRICA una tabia mbaya wamemfukuza huyo spika sababu mwanamke kama ambavyo mfumo dume wa Chadema umewaonea kuwafukuza wabunge wanawake viti maalumu akina halima mdee na wenzie
Duh.........

Mfumo dume tena??
 
Spika siyo kwamba anasusua kufuata kanuni sheria na miongozo...
Tatizo anaendekeza maagizo kutoja juu...




Cc: mahondaw
 
Usishangae sana, Sisi tupo kivyetu zaidi mkuu. Na hakuna wa kuuliza hivyo tuvumilie tu.
 
Mkuu wala usiwe na shaka malipo ni hapa hapa Duniani. Ndugai alishazoea kuwakemea na kuwanyanyasa Wabunge wa Upinzani hasa Chadema. Sasa wako wenyewe mle. Ataanza kuwanyanyasa wa chama chake mwenyewe. Kuna taarifa kwamba tayari yameshaibuka makundi mara baada ya kutangazwa Baraza la Mawaziri na pili tamko la Jiwe kuwa hatokubali Mgombea Urais 2025 awe aliyemzidi umri.

Haya makundi yamo mle Bungeni na wataanza kusodoana mle mle ndani na Spika hataweza kuwadhibiti jambo ambalo halitamfurahisha M/Kiti wao Taifa. Hivyo kuna uwezekano mkubwa kuwapo na Watakaotimuliwa kwenye chama. Muda utaongea.
 
"Ukimwangalia ndugai usoni amekaa kinafiki nafiki sawa na maneno yake

Yaani ukiambiwa ni msomi unaeza usikubali".
Ndugu nguruka wa kig0ma ,Ndugai usomi ameupata wapi,lini na kutoka wapi!?
Bungeni leo nani ni msomi pale!?
Ndugai hata shule yake ya hovyo,huo usomi atautoa wapi?
Huwezi kuwa msomi halafu ukakubali "matumizi kinyume na maumbile".
 
K Kwani anayetaarifiwa ni Spika au ni Tume iliyowateua!?
 
Wewe ndiyo una utoto kwa kuja na mifano isiyoendana na uovu wa Ndungai
 
Have understood only "Fantasy"
 
Spika siyo kwamba anasusua kufuata kanuni sheria na miongozo...
Tatizo anaendekeza maagizo kutoja juu...




Cc: mahondaw
Kama anafuata maagizo toka juu, bila kuzingatia Katiba ya nchi, basi ajue kuwa ipo siku hayo maagizo anayoyatekeleza yatakuja mtokea puani!
 
Kama anafuata maagizo toka juu, bila kuzingatia Katiba ya nchi, basi ajue kuwa ipo siku hayo maagizo anayoyatekeleza yatakuja mtokea puani!
Ipo siku yes... Ila hiyo ipo siku kwa katiba hii hii haiwezi kufikiwa...




Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…