vijana waliohamia CCM Kukoka CDM Kuhangaika kuwachafua viongozi wa CDM wana nia ya Dhati kupigania maslahi ya watanzania kwa ujumla wao au ni mwendo wa kutumika kisiasa?
Wale ni njaa kali tuu na hata CCM wenyewe wanajua hilo. na watawatumia baadae watawa-ulimboka maaana ni design ya malaya wale leo huku kesho kule. Haki inapiganiwa popote, mbona filikunjombe yuko CCM lakini ni mpigania haki
Wale ni njaa kali tuu na hata CCM wenyewe wanajua hilo. na watawatumia baadae watawa-ulimboka maaana ni design ya malaya wale leo huku kesho kule. Haki inapiganiwa popote, mbona filikunjombe yuko CCM lakini ni mpigania haki