Uchaguzi 2020 Tunajifunza somo la sheria toka kwa Tundu Lissu, lakini CCM itashinda kwa kishindo

Uchaguzi 2020 Tunajifunza somo la sheria toka kwa Tundu Lissu, lakini CCM itashinda kwa kishindo

GUSSIE

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
3,880
Reaction score
11,134
Wanabodi, katika siku tatu hizi mfululizo kuna mambo mengi ya kisheria tumejifunza kama wana.

Ingawa Tundu Lissu anaweka mitego ili tujiingize kichwa kichwa halafu ije tuonekane ni nchi isiyofuata haki na demokrasia hivyo kutengwa.

Mosi, Kuandaa wanasheria bora wenye kusoma na kuelewa mambo kwa mapana kuanzia sheria zetu wenyewe za chama cha mapinduzi na za uchaguzi.

Mfano, Suala la Tume ya uchaguzi kumuita Tundu Lissu kwenye Tume ya maadili kupitia vyombo vya habari amelipangua vibaya mno kuwa lazima aitwe kwa maandishi na barua lazima apewe yeye, baadae Tume imebadili kauli kuwa watamtumia barua.

Pili, Suala la IGP Siro kumuita Polisi, Lissu ameeleza lazima aambiwe sababu na amevunja sheria ipi? Suala hili linaungwa mkono na maelfu ya wanasheria kwenye mitandao ya kijamii.

Ushauri kwa chama changu ni huu.

Mosi, Jeshi la polisi lisijiingize kwenye ishu za uchaguzi huu, Maelezo yote ya kumuita Tundu lissu Polisi yana tuma ujumbe kwa mataifa mengine na wananchi kuwa CCM tunabebwa na Polisi na Tume wakati kuna mikoa mingi ni ngome zetu wana CCM.

Pili, hata wanaCCM wameongea kauli tata juu ya lissu mfano anatumiwa na mabeberu, Mara Msukule lakini yeye akirusha mishale kwetu inauma sana tujifunze uvumilivu,Siasa ni utani na madongo kwa wagombea, kuna madongo yanauma na mengine yanafurahisha.

Wakati wa uchaguzi ndio wakati wa majungu na fitina na kuna watu wamezaliwa kufanya fitina na majungu ya kweli na uwongo

Mfano: Nape Nnauye alikuwa mtu wa majungu na fitina sana, Hivyo kila kauli kutoka kwa Dkt Slaa alijibu kwa majungu na fitina za kuuma na kupuliza.

Mwigulu Nchemba wa wakati huo alikuwa mtu wa kupika propaganda za uwongo na za kweli kuaminisha Chadema haifai.

Kuna mifano mingi sana hata Jakaya Kikwete alikuwa mtu wa kupiga mipasho fulani hivi ya Pwani, JK anakusema unaumia huku anacheka kwa kiswahili cha Pwani bila kutaja jina.

Tusiumie na Lissu yeye anatwanga live bila tafsida au kuchuja tumvumilie tu ndio uchaguzi huo.

Yote kwa yote somo la sheria hata sisi tusio wanasheria kuna kitu tunajifunza kwake mnyonge mnyongeni lakini kwenye ishu ya sheria jamaa ni mtaalamu na anasoma.

Kwa ufupi Tundu Lissu sio mvivu kusoma sheria zetu na historia yetu.

CCM tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi na zilizoboreshwa za kushawishi na kuonyesha yale tuliyoyafanya.
 
Kuna muda najiuliza, Hivi serikalini kuna wanasheria?.. Maana Lissu anawaendesha tu[emoji1787][emoji1787]. Naona hata IGP Sirro raia wameanza kumdharau[emoji1787]
Wapo wataalam wengi tu sema muda unabana na majukumu
 
Kuna muda najiuliza, Hivi serikalini kuna wanasheria?.. Maana Lissu anawaendesha tu[emoji1787][emoji1787]. Naona hata IGP Sirro raia wameanza kumdharau[emoji1787]
Angalia haya mambo ya ajabu na ya aibu kutoka kwa jeshi la polisi la CCM!Hata mtoto wa chekechea hawezi kufanya kosa kama hili.Sasa unategemea katika hali kama hii Lissu aache kukutungua?
432098.jpg
 
Wanabodi, katika siku tatu hizi mfululizo kuna mambo mengi ya kisheria tumejifunza kama wana.

Ingawa Tundu Lissu anaweka mitego ili tujiingize kichwa kichwa halafu ije tuonekane ni nchi isiyofuata haki na demokrasia hivyo kutengwa.

Mosi,Kuandaa wanasheria bora wenye kusoma na kuelewa mambo kwa mapana kuanzia sheria zetu wenyewe za chama cha mapinduzi na za uchaguzi.

Mfano, Suala la Tume ya uchaguzi kumuita Tundu Lissu kwenye Tume ya maadili kupitia vyombo vya habari amelipangua vibaya mno kuwa lazima aitwe kwa maandishi na barua lazima apewe yeye, baadae Tume imebadili kauli kuwa watamtumia barua.

Pili, Suala la IGP Siro kumuita Polisi, Lissu ameeleza lazima aambiwe sababu na amevunja sheria ipi? Suala hili linaungwa mkono na maelfu ya wanasheria kwenye mitandao ya kijamii.

Ushauri kwa chama changu ni huu.

Mosi, Jeshi la polisi lisijiingize kwenye ishu za uchaguzi huu,Maelezo yote ya kumuita Tundu lissu Polisi yana tuma ujumbe kwa mataifa mengine na wananchi kuwa CCM tunabebwa na Polisi na Tume wakati kuna mikoa mingi ni ngome zetu wana CCM.

Pili, hata wanaCCM wameongea kauli tata juu ya lissu mfano anatumiwa na mabeberu, Mara Msukule lakini yeye akirusha mishale kwetu inauma sana tujifunze uvumilivu,Siasa ni utani na madongo kwa wagombea, kuna madongo yanauma na mengine yanafurahisha.

Wakati wa uchaguzi ndio wakati wa majungu na fitina na kuna watu wamezaliwa kufanya fitina na majungu ya kweli na uwongo

Mfano: Nape Nnauye alikuwa mtu wa majungu na fitina sana, Hivyo kila kauli kutoka kwa Dkt Slaa alijibu kwa majungu na fitina za kuuma na kupuliza.

Mwigulu Nchemba wa wakati huo alikuwa mtu wa kupika propaganda za uwongo na za kweli kuaminisha Chadema haifai.

Kuna mifano mingi sana hata Jakaya Kikwete alikuwa mtu wa kupiga mipasho fulani hivi ya Pwani, JK anakusema unaumia huku anacheka kwa kiswahili cha Pwani bila kutaja jina.

Tusiumie na Lissu yeye anatwanga live bila tafsida au kuchuja tumvumilie tu ndio uchaguzi huo.

Yote kwa yote somo la sheria hata sisi tusio wanasheria kuna kitu tunajifunza kwake mnyonge mnyongeni lakini kwenye ishu ya sheria jamaa ni mtaalamu na anasoma.

Kwa ufupi Tundu Lissu sio mvivu kusoma sheria zetu na historia yetu.

CCM tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi na zilizoboreshwa za kushawishi na kuonyesha yale tuliyoyafanya.
Hakuna kushinda kwa mbinu mwaka huu. Tundu Lissu ndo Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025
 
Wanabodi, katika siku tatu hizi mfululizo kuna mambo mengi ya kisheria tumejifunza kama wana.

Ingawa Tundu Lissu anaweka mitego ili tujiingize kichwa kichwa halafu ije tuonekane ni nchi isiyofuata haki na demokrasia hivyo kutengwa.

Mosi,Kuandaa wanasheria bora wenye kusoma na kuelewa mambo kwa mapana kuanzia sheria zetu wenyewe za chama cha mapinduzi na za uchaguzi.

Mfano, Suala la Tume ya uchaguzi kumuita Tundu Lissu kwenye Tume ya maadili kupitia vyombo vya habari amelipangua vibaya mno kuwa lazima aitwe kwa maandishi na barua lazima apewe yeye, baadae Tume imebadili kauli kuwa watamtumia barua.

Pili, Suala la IGP Siro kumuita Polisi, Lissu ameeleza lazima aambiwe sababu na amevunja sheria ipi? Suala hili linaungwa mkono na maelfu ya wanasheria kwenye mitandao ya kijamii.

Ushauri kwa chama changu ni huu.

Mosi, Jeshi la polisi lisijiingize kwenye ishu za uchaguzi huu,Maelezo yote ya kumuita Tundu lissu Polisi yana tuma ujumbe kwa mataifa mengine na wananchi kuwa CCM tunabebwa na Polisi na Tume wakati kuna mikoa mingi ni ngome zetu wana CCM.

Pili, hata wanaCCM wameongea kauli tata juu ya lissu mfano anatumiwa na mabeberu, Mara Msukule lakini yeye akirusha mishale kwetu inauma sana tujifunze uvumilivu,Siasa ni utani na madongo kwa wagombea, kuna madongo yanauma na mengine yanafurahisha.

Wakati wa uchaguzi ndio wakati wa majungu na fitina na kuna watu wamezaliwa kufanya fitina na majungu ya kweli na uwongo

Mfano: Nape Nnauye alikuwa mtu wa majungu na fitina sana, Hivyo kila kauli kutoka kwa Dkt Slaa alijibu kwa majungu na fitina za kuuma na kupuliza.

Mwigulu Nchemba wa wakati huo alikuwa mtu wa kupika propaganda za uwongo na za kweli kuaminisha Chadema haifai.

Kuna mifano mingi sana hata Jakaya Kikwete alikuwa mtu wa kupiga mipasho fulani hivi ya Pwani, JK anakusema unaumia huku anacheka kwa kiswahili cha Pwani bila kutaja jina.

Tusiumie na Lissu yeye anatwanga live bila tafsida au kuchuja tumvumilie tu ndio uchaguzi huo.

Yote kwa yote somo la sheria hata sisi tusio wanasheria kuna kitu tunajifunza kwake mnyonge mnyongeni lakini kwenye ishu ya sheria jamaa ni mtaalamu na anasoma.

Kwa ufupi Tundu Lissu sio mvivu kusoma sheria zetu na historia yetu.

CCM tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi na zilizoboreshwa za kushawishi na kuonyesha yale tuliyoyafanya.
Halafu wakikosea wakamkamata kwa nguvu wanakuwa wamemuinua kisiasa kuanzia ndani ya nchi hadi kimataifa
The conduct of the upcoming elections in Tanzania has important consequences not only for Tanzania, but for the entire East African region. Tanzania’s history of peaceful multi-party elections stretching back 25 years has made it a model on the continent.

The United States government reaffirms unequivocally that it does not support any specific candidate or party in Tanzania’s upcoming elections. The United States supports the democratic process itself. We support a genuinely free, fair, transparent, and peaceful electoral process, before, during, and after election day. This includes ensuring the safety of all contestants, respect for the rule of law, and the absolute impartiality of the authorities in charge of managing the elections.

The United States, along with other democratic nations, will be paying close attention to actions of individuals who interfere in the democratic process or instigate violence against the civilian population before, during, or after the elections. We will not hesitate to consider consequences for those found to be responsible for election-related violence or undermining the democratic process.

We welcome the calls by the leading candidates for a peaceful and transparent electoral process, and we urge them and their supporters to take measures to decrease tensions and avoid inciteful rhetoric.

By U.S. Embassy Dar es Salaam | 1 October, 2020 | Topics: Press Releases
 
The conduct of the upcoming elections in Tanzania has important consequences not only for Tanzania, but for the entire East African region. Tanzania’s history of peaceful multi-party elections stretching back 25 years has made it a model on the continent.

The United States government reaffirms unequivocally that it does not support any specific candidate or party in Tanzania’s upcoming elections. The United States supports the democratic process itself. We support a genuinely free, fair, transparent, and peaceful electoral process, before, during, and after election day. This includes ensuring the safety of all contestants, respect for the rule of law, and the absolute impartiality of the authorities in charge of managing the elections.

The United States, along with other democratic nations, will be paying close attention to actions of individuals who interfere in the democratic process or instigate violence against the civilian population before, during, or after the elections. We will not hesitate to consider consequences for those found to be responsible for election-related violence or undermining the democratic process.

We welcome the calls by the leading candidates for a peaceful and transparent electoral process, and we urge them and their supporters to take measures to decrease tensions and avoid inciteful rhetoric.

By U.S. Embassy Dar es Salaam | 1 October, 2020 | Topics: Press Releases
CCM watajuta kuwafahamu Marekani mwaka huu
 
Wanabodi, katika siku tatu hizi mfululizo kuna mambo mengi ya kisheria tumejifunza kama wana.

Ingawa Tundu Lissu anaweka mitego ili tujiingize kichwa kichwa halafu ije tuonekane ni nchi isiyofuata haki na demokrasia hivyo kutengwa.

Mosi,Kuandaa wanasheria bora wenye kusoma na kuelewa mambo kwa mapana kuanzia sheria zetu wenyewe za chama cha mapinduzi na za uchaguzi.

Mfano, Suala la Tume ya uchaguzi kumuita Tundu Lissu kwenye Tume ya maadili kupitia vyombo vya habari amelipangua vibaya mno kuwa lazima aitwe kwa maandishi na barua lazima apewe yeye, baadae Tume imebadili kauli kuwa watamtumia barua.

Pili, Suala la IGP Siro kumuita Polisi, Lissu ameeleza lazima aambiwe sababu na amevunja sheria ipi? Suala hili linaungwa mkono na maelfu ya wanasheria kwenye mitandao ya kijamii.

Ushauri kwa chama changu ni huu.

Mosi, Jeshi la polisi lisijiingize kwenye ishu za uchaguzi huu,Maelezo yote ya kumuita Tundu lissu Polisi yana tuma ujumbe kwa mataifa mengine na wananchi kuwa CCM tunabebwa na Polisi na Tume wakati kuna mikoa mingi ni ngome zetu wana CCM.

Pili, hata wanaCCM wameongea kauli tata juu ya lissu mfano anatumiwa na mabeberu, Mara Msukule lakini yeye akirusha mishale kwetu inauma sana tujifunze uvumilivu,Siasa ni utani na madongo kwa wagombea, kuna madongo yanauma na mengine yanafurahisha.

Wakati wa uchaguzi ndio wakati wa majungu na fitina na kuna watu wamezaliwa kufanya fitina na majungu ya kweli na uwongo

Mfano: Nape Nnauye alikuwa mtu wa majungu na fitina sana, Hivyo kila kauli kutoka kwa Dkt Slaa alijibu kwa majungu na fitina za kuuma na kupuliza.

Mwigulu Nchemba wa wakati huo alikuwa mtu wa kupika propaganda za uwongo na za kweli kuaminisha Chadema haifai.

Kuna mifano mingi sana hata Jakaya Kikwete alikuwa mtu wa kupiga mipasho fulani hivi ya Pwani, JK anakusema unaumia huku anacheka kwa kiswahili cha Pwani bila kutaja jina.

Tusiumie na Lissu yeye anatwanga live bila tafsida au kuchuja tumvumilie tu ndio uchaguzi huo.

Yote kwa yote somo la sheria hata sisi tusio wanasheria kuna kitu tunajifunza kwake mnyonge mnyongeni lakini kwenye ishu ya sheria jamaa ni mtaalamu na anasoma.

Kwa ufupi Tundu Lissu sio mvivu kusoma sheria zetu na historia yetu.

CCM tutashinda kwa mbinu za kisasa zaidi na zilizoboreshwa za kushawishi na kuonyesha yale tuliyoyafanya.
Bora umelitambua hilo sasa kama mmeshalitambua hilo acheni kuingilia mamlaka zinazosiamimia uchaguzi kwani hili linawafanya nao waonekana "wapumbavu" kama mlivyo nyie
 
Bora umelitambua hilo sasa kama mmeshalitambua hilo acheni kuingilia mamlaka zinazosiamimia uchaguzi kwani hili linawafanya nao waonekana "wapumbavu" kama mlivyo nyie
The conduct of the upcoming elections in Tanzania has important consequences not only for Tanzania, but for the entire East African region. Tanzania’s history of peaceful multi-party elections stretching back 25 years has made it a model on the continent.

The United States government reaffirms unequivocally that it does not support any specific candidate or party in Tanzania’s upcoming elections. The United States supports the democratic process itself. We support a genuinely free, fair, transparent, and peaceful electoral process, before, during, and after election day. This includes ensuring the safety of all contestants, respect for the rule of law, and the absolute impartiality of the authorities in charge of managing the elections.

The United States, along with other democratic nations, will be paying close attention to actions of individuals who interfere in the democratic process or instigate violence against the civilian population before, during, or after the elections. We will not hesitate to consider consequences for those found to be responsible for election-related violence or undermining the democratic process.

We welcome the calls by the leading candidates for a peaceful and transparent electoral process, and we urge them and their supporters to take measures to decrease tensions and avoid inciteful rhetoric.

By U.S. Embassy Dar es Salaam | 1 October, 2020 | Topics: Press Releases
 
Asikudanganye mtu, LISSU nyota yake sio ya kawaida.

Jamaa amedhamiria kuchukua nchi kweli, namuonea huruma mgombea Urais 2025 kupitia CCM.
 
The conduct of the upcoming elections in Tanzania has important consequences not only for Tanzania, but for the entire East African region. Tanzania’s history of peaceful multi-party elections stretching back 25 years has made it a model on the continent.

The United States government reaffirms unequivocally that it does not support any specific candidate or party in Tanzania’s upcoming elections. The United States supports the democratic process itself. We support a genuinely free, fair, transparent, and peaceful electoral process, before, during, and after election day. This includes ensuring the safety of all contestants, respect for the rule of law, and the absolute impartiality of the authorities in charge of managing the elections.

The United States, along with other democratic nations, will be paying close attention to actions of individuals who interfere in the democratic process or instigate violence against the civilian population before, during, or after the elections. We will not hesitate to consider consequences for those found to be responsible for election-related violence or undermining the democratic process.

We welcome the calls by the leading candidates for a peaceful and transparent electoral process, and we urge them and their supporters to take measures to decrease tensions and avoid inciteful rhetoric.

By U.S. Embassy Dar es Salaam | 1 October, 2020 | Topics: Press Releases
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwamba CCM mtashinda kwa 'mbinu za kisasa zaidi' sio kwa kura!

Sawa ngoja tusubiri tuone hizo mbinu za kisasa.

Lakini mmeshaonywa, msije acha wake zenu kwa kwenda jela vipindi virefu bure!
Kuhusu Jela sidhani kama itakuwa rahisi hivyo,sanasana baada ya uchaguzi yatakuwepo malalamiko madogomadogo afu kila kitu litakuwa sawa baadae,
 
Kwamba CCM mtashinda kwa 'mbinu za kisasa zaidi' sio kwa kura!

Sawa ngoja tusubiri tuone hizo mbinu za kisasa.

Lakini mmeshaonywa, msije acha wake zenu kwa kwenda jela vipindi virefu bure!

Mbinu za kisasa = wizi wa kura
 
Back
Top Bottom