Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Afadhali wewe unaepiga hesabu za 2025.Uchaguzi huo utakuwa mgumu Ila huu wa Sasa,hakuna Cha maana chochote.Asikudanganye mtu, LISSU nyota yake sio ya kawaida.
Jamaa amedhamiria kuchukua nchi kweli, namuonea huruma mgombea Urais 2025 kupitia CCM.