LGE2024 Tunajionea namna dhulma inavyoimarisha CHADEMA. Miikutano yao imejaa hoja wakati mikutano ya watawala imejaa vi-hoja. Tutaelewana tu jukwaani

LGE2024 Tunajionea namna dhulma inavyoimarisha CHADEMA. Miikutano yao imejaa hoja wakati mikutano ya watawala imejaa vi-hoja. Tutaelewana tu jukwaani

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Pamoja na wagombea wa serikali za mitaa wa vyama vya upinzani kukatwa kwa vigezo mbalimbali vyama hivyo vimeamua kuendelea na kampeni siyo ya uchaguzi wa serikali ya mtaa bali kupima kama wanakubalika au la.

Uzinduzi uliofanywa katika mikao mbalimbali na chadema umewaleta wananchi wengi kwenye jukwaa la siasa kinyume na ilivyopangwa.

Mwitikio huu unaashiria hali ya siasa katika Taifa letu siyo sanduku la kura bali ni imani. Unaweza ukawa na viongozi wengi wasiotokana na wananchi ukaamini unakubalika ila ukweli ukabaki pale pale kwamba kuna chuki kwenye jamii juu yako.

Mikutano ya CCM haiana watu kabisa, haina wazee na vijana bali inawatoto wengi kutokana na mziki. CCM pamoja na kwamba tumelazimisha kupitisha wagombea wetu bila kupingwa tutambue kwamba tunavyoendelea kuwakataza wanachama wetu kushindana huku wenzetu wakiendelea kushindana ndivyo tunavyodumaza chama kwenye matawi.

Kazi ya mwanasiasa ni kushawishi wananchi, kama wana CCM wataacha jukumu lakushawishi wananchi wakabaki na jukumu lakuteuana basi upo wakati CCM haitakuwa na wanasiasa. Kutafakari sana kuhusu kupita bila kupingwa inatusaidia kuandaa watu.
 
Pamoja na wagombea wa serikali za mitaa wa vyama vya upinzani kukatwa kwa vigezo mbalimbali vyama hivyo vimeamua kuendelea na kampeni siyo ya uchaguzi wa serikali ya mtaa bali kupima kama wanakubalika au la.

Uzinduzi uliofanywa katika mikao mbalimbali na chadema umewaleta wananchi wengi kwenye jukwaa la siasa kinyume na ilivyopangwa.

Mwitikio huu unaashiria hali ya siasa katika Taifa letu siyo sanduku la kura bali ni imani. Unaweza ukawa na viongozi wengi wasiotokana na wananchi ukaamini unakubalika ila ukweli ukabaki pale pale kwamba kuna chuki kwenye jamii juu yako.


Mikutano ya CCM haiana watu kabisa, haina wazee na vijana bali inawatoto wengi kutokana na mziki. CCM pamoja na kwamba tumelazimisha kupitisha wagombea wetu bila kupingwa tutambue kwamba tunavyoendelea kuwakataza wanachama wetu kushindana huku wenzetu wakiendelea kushindana ndivyo tunavyodumaza chama kwenye matawi.

Kazi ya mwanasiasa ni kushawishi wananchi, kama wana CCM wataacha jukumu lakushawishi wananchi wakabaki na jukumu lakuteuana basi upo wakati CCM haitakuwa na wanasiasa. Kutafakari sana kuhusu kupita bila kupingwa inatusaidia kuandaa watu
Upo sahihi sn mkuu
Ukweli mchungu: Ccm haitaweza kuondoka madarakani kwa njia ya kura.
 
Pamoja na wagombea wa serikali za mitaa wa vyama vya upinzani kukatwa kwa vigezo mbalimbali vyama hivyo vimeamua kuendelea na kampeni siyo ya uchaguzi wa serikali ya mtaa bali kupima kama wanakubalika au la.

Uzinduzi uliofanywa katika mikao mbalimbali na chadema umewaleta wananchi wengi kwenye jukwaa la siasa kinyume na ilivyopangwa.

Mwitikio huu unaashiria hali ya siasa katika Taifa letu siyo sanduku la kura bali ni imani. Unaweza ukawa na viongozi wengi wasiotokana na wananchi ukaamini unakubalika ila ukweli ukabaki pale pale kwamba kuna chuki kwenye jamii juu yako.


Mikutano ya CCM haiana watu kabisa, haina wazee na vijana bali inawatoto wengi kutokana na mziki. CCM pamoja na kwamba tumelazimisha kupitisha wagombea wetu bila kupingwa tutambue kwamba tunavyoendelea kuwakataza wanachama wetu kushindana huku wenzetu wakiendelea kushindana ndivyo tunavyodumaza chama kwenye matawi.

Kazi ya mwanasiasa ni kushawishi wananchi, kama wana CCM wataacha jukumu lakushawishi wananchi wakabaki na jukumu lakuteuana basi upo wakati CCM haitakuwa na wanasiasa. Kutafakari sana kuhusu kupita bila kupingwa inatusaidia kuandaa watu
HIVI KWENYE MKUTANO WA MPINZANI GANI AMETANGAZA SERA NAONA WANAPIGA VIJEMBE TU VYA KUMALIZANA WAOKWA WAO NYJMBU HAWA HAWANA LOLOTE
 
Pamoja na wagombea wa serikali za mitaa wa vyama vya upinzani kukatwa kwa vigezo mbalimbali vyama hivyo vimeamua kuendelea na kampeni siyo ya uchaguzi wa serikali ya mtaa bali kupima kama wanakubalika au la.

Uzinduzi uliofanywa katika mikao mbalimbali na chadema umewaleta wananchi wengi kwenye jukwaa la siasa kinyume na ilivyopangwa.

Mwitikio huu unaashiria hali ya siasa katika Taifa letu siyo sanduku la kura bali ni imani. Unaweza ukawa na viongozi wengi wasiotokana na wananchi ukaamini unakubalika ila ukweli ukabaki pale pale kwamba kuna chuki kwenye jamii juu yako.

Mikutano ya CCM haiana watu kabisa, haina wazee na vijana bali inawatoto wengi kutokana na mziki. CCM pamoja na kwamba tumelazimisha kupitisha wagombea wetu bila kupingwa tutambue kwamba tunavyoendelea kuwakataza wanachama wetu kushindana huku wenzetu wakiendelea kushindana ndivyo tunavyodumaza chama kwenye matawi.

Kazi ya mwanasiasa ni kushawishi wananchi, kama wana CCM wataacha jukumu lakushawishi wananchi wakabaki na jukumu lakuteuana basi upo wakati CCM haitakuwa na wanasiasa. Kutafakari sana kuhusu kupita bila kupingwa inatusaidia kuandaa watu.
acha uoptoshaji gentleman,
mmeanza kampeni wapi kwa mfano 🐒
 
Kwa jinsi wapinzani wanavyo fanyiwa uonevu kila kona na mamlaka zimetulia tu, tunako elekea italuwa ni yale mambo ya kujitoa muhanga ili nao waonje joto ya jiwe. Huko ndiko wanako taka watanzania wafike, sijui ni kwa nini wanawanyanyasa sana hawa ndugu zetu?
 
Pamoja na wagombea wa serikali za mitaa wa vyama vya upinzani kukatwa kwa vigezo mbalimbali vyama hivyo vimeamua kuendelea na kampeni siyo ya uchaguzi wa serikali ya mtaa bali kupima kama wanakubalika au la.

Uzinduzi uliofanywa katika mikao mbalimbali na chadema umewaleta wananchi wengi kwenye jukwaa la siasa kinyume na ilivyopangwa.

Mwitikio huu unaashiria hali ya siasa katika Taifa letu siyo sanduku la kura bali ni imani. Unaweza ukawa na viongozi wengi wasiotokana na wananchi ukaamini unakubalika ila ukweli ukabaki pale pale kwamba kuna chuki kwenye jamii juu yako.

Mikutano ya CCM haiana watu kabisa, haina wazee na vijana bali inawatoto wengi kutokana na mziki. CCM pamoja na kwamba tumelazimisha kupitisha wagombea wetu bila kupingwa tutambue kwamba tunavyoendelea kuwakataza wanachama wetu kushindana huku wenzetu wakiendelea kushindana ndivyo tunavyodumaza chama kwenye matawi.

Kazi ya mwanasiasa ni kushawishi wananchi, kama wana CCM wataacha jukumu lakushawishi wananchi wakabaki na jukumu lakuteuana basi upo wakati CCM haitakuwa na wanasiasa. Kutafakari sana kuhusu kupita bila kupingwa inatusaidia kuandaa watu.
Tunapaswa kujikomboa kutoka makucha ya CCM!
 
Back
Top Bottom