J Joseph m.chacha New Member Joined Mar 27, 2014 Posts 1 Reaction score 0 Mar 28, 2014 #1 Naomba mnisaidie kuhusu ufaulu unaohitajika ualimu ngaz ya chet
K kapacity Member Joined Feb 23, 2014 Posts 11 Reaction score 0 Mar 28, 2014 #2 Eti mwisho ni 4 ya 38 nimetoka kuambiwa ivyo.ila anayejua vizur si mbaya akakujuza.
M majosa jr Member Joined Feb 23, 2014 Posts 58 Reaction score 14 Mar 28, 2014 #3 Dah nasikia f4 ya kwanza ni 32, kama ni kweli hiyo 38 hasahau ualimu
B Brother V Member Joined Dec 8, 2013 Posts 36 Reaction score 10 Mar 29, 2014 #4 Kwani moevt washatoa ufafanuzi kuhusu points zinazo ruhusu ku-apply chuo cha ualim?
B biee JF-Expert Member Joined Apr 3, 2013 Posts 332 Reaction score 116 Mar 29, 2014 #5 Jaman..sasa wana mpango gan? Watatoa lin?? Watu tunakosa ata mwelekeo jaman ..khaa
B Brother V Member Joined Dec 8, 2013 Posts 36 Reaction score 10 Mar 30, 2014 #6 biee said: Jaman..sasa wana mpango gan? Watatoa lin?? Watu tunakosa ata mwelekeo jaman ..khaa Click to expand... Kwan umepata div ngapi ndugu, mbona majotro?
biee said: Jaman..sasa wana mpango gan? Watatoa lin?? Watu tunakosa ata mwelekeo jaman ..khaa Click to expand... Kwan umepata div ngapi ndugu, mbona majotro?
B biee JF-Expert Member Joined Apr 3, 2013 Posts 332 Reaction score 116 Mar 31, 2014 #7 Brother V said: Kwan umepata div ngapi ndugu, mbona majotro? Click to expand... I'm just fighting for my young sister. Ana div 4.38, C-2, D-2, E-1, F-2.
Brother V said: Kwan umepata div ngapi ndugu, mbona majotro? Click to expand... I'm just fighting for my young sister. Ana div 4.38, C-2, D-2, E-1, F-2.