Tunajua SGR isipobinafsishwa mambo yatakuwa hovyo kama BRT

Tunajua SGR isipobinafsishwa mambo yatakuwa hovyo kama BRT

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
BRT ilipaswa kuwa fahari ya Dar kwenye masuala ya usafiri wa umma lakini leo BRT umekuwa janga kwa wasafiri wenye kuhitaji ustaarabu kama watu wazima na wazee. Mnajua jinsi unavyohitajika kuwa na msuli na mbio ili uweze kupanda BRT.

Ndivyo itakavyokuwa kwa SGR kama hatuta binafsisha mradi huu. Miundombinu hii ni mizuri lakini inakosa waendeshaji wazuri.

ATCL nayo itaendelea kuendeshwa kwa hasara hadi apatikane mwendeshaji nje ya serkali.
 
-LIFANYIKE MAPEMA WAPEWE WAZUNGU SIO WAARABU-although trc won't like that at all, wapewe wenye uwezo and then wajikomiti, but it's too early, ni vema baada ya mradi mzima kukamilika ndipo haya yakafanyika!
 
Mara kwanza mlisema SGR haiwezi kukamilika na kuanza kazi kamwe! Sasa hivi mnaanza kiweka ulozi kwenye uendeshaji. Sijui baadae kitafuata nini!
 
Hata ile reli ya TAZARA tumeshindwa kuisimamia kwa sababu tu ya wizi, ubinafsi, uzembe, ubabaishaji, uvivu, usimamizi mbovu, nk.

Tulikabidhiwa na Wachina mwaka 1975 ikiwa katika ubora wa hali ya juu kabisa! Leo hii tumebakiwa na magofu na vyuma chakavu!! Hivyo ni vizuri tahadhari ikachukuliwa mapema.
 
Ngozi nyeusi sijui ina shida gani!! Hata ile reli ya TAZARA tumeshindwa kuisimamia kwa sababu tu ya wizi, ubinafsi, uzembe, ubabaishaji, uvivu, usimamizi mbovu, nk.

Tulikabidhiwa na Wachina mwaka 1975 ikiwa katika ubora wa hali ya juu kabisa! Leo hii tumebakiwa na magofu na vyuma chakavu!!
Tatizo wizi, kwa upande wa wasimamizi wa mradi.
 
Km hatuwezi kuendesha shirika basi serkali ijiuzulu

Wapo wazalendo wengi wenye uwezo wa kusimamia serkali ikanyoka
 
BRT ilipaswa kuwa fahari ya Dar kwenye masuala ya usafiri wa umma lakini leo BRT umekuwa janga kwa wasafiri wenye kuhitaji ustaarabu kama watu wazima na wazee. Mnajua jinsi unavyohitajika kuwa na msuli na mbio ili uweze kupanda BRT.

Ndivyo itakavyokuwa kwa SGR kama hatuta binafsisha mradi huu. Miundombinu hii ni mizuri lakini inakosa waendeshaji wazuri.

ATCL nayo itaendelea kuendeshwa kwa hasara hadi apatikane mwendeshaji nje ya serkali.
kwa kweli bora wampe mwekezaji mapema kabisa.
 
Mara kwanza mlisema SGR haiwezi kukamilika na kuanza kazi kamwe! Sasa hivi mnaanza kiweka ulozi kwenye uendeshaji. Sijui baadae kitafuata nini!
Huvi unategemea mradi unaendeshwa na serikali
Ukafanikiwa 😄
Huu mradi hauta maliza hata miaka 2 chalii

Ova
 
-LIFANYIKE MAPEMA WAPEWE WAZUNGU SIO WAARABU-although trc won't like that at all, wapewe wenye uwezo and then wajikomiti, but it's too early, ni vema baada ya mradi mzima kukamilika ndipo haya yakafanyika!
Kwa nini wasipewe waswahili wenye nchi yao?
Utumwa wa fikra utaisha lini?
Maendeleo endelevu kwa nchi yoyote huletwa na wenye nchi.
Msingi wa umasikini wa nchi za Africa umejengeka kwenye fikra tegemezi za wananchi na viongozi kuona kuwa hawawezi bila msaada wa wageni.
 
BRT ilipaswa kuwa fahari ya Dar kwenye masuala ya usafiri wa umma lakini leo BRT umekuwa janga kwa wasafiri wenye kuhitaji ustaarabu kama watu wazima na wazee. Mnajua jinsi unavyohitajika kuwa na msuli na mbio ili uweze kupanda BRT.

Ndivyo itakavyokuwa kwa SGR kama hatuta binafsisha mradi huu. Miundombinu hii ni mizuri lakini inakosa waendeshaji wazuri.

ATCL nayo itaendelea kuendeshwa kwa hasara hadi apatikane mwendeshaji nje ya serkali.
Uwizi uwizi uwizi na wezi wezi wezi wa mali za Umma ndio janga letu kuu 😱
 
Kwa nini wasipewe waswahili wenye nchi yao?
Utumwa wa fikra utaisha lini?
Maendeleo endelevu kwa nchi yoyote huletwa na wenye nchi.
Msingi wa umasikini wa nchi za Africa umejengeka kwenye fikra tegemezi za wananchi na viongozi kuona kuwa hawawezi bila msaada wa wageni.
Tatizo akili za mwafrika, ni fupi mno, ataharibu by any mean, mwafrika hatenganishwi na ubinafsi, umimi, N. K.
 
Tatizo akili za mwafrika, ni fupi mno, ataharibu by any mean, mwafrika hatenganishwi na ubinafsi, umimi, N. K.
Hali hiyo ipo zaidi kwenye mali za Uma ambapo hakuna kujali, viongozi wengi hawana uwezo kifikra na pia urasimu katika maamuzi.
Sekta binafsi changamoto siyo kubwa Ila ubinafsi wa kijinga wa wanasiasa, watunga sera na sheria hufanya ushirikiano na wageni kuliibia taifa.
 
Back
Top Bottom