Tunakifa kizembe sababu baadhi ya alama za barabarani hatuzijui

Tunakifa kizembe sababu baadhi ya alama za barabarani hatuzijui

Meragraphics

Member
Joined
Dec 23, 2024
Posts
37
Reaction score
45
Hii elimu ya usalama barabarani mbona kama inatolewa kwa madereva, vipi kuhusu sisi tunaoendesha miguu yetu. Mana tunakufa kizembe sababu baadhi ya alama za barabarani hatuzielewi wala
8d6fd1db516ad882e820d82a896c0c3a.jpg
 
Case ya watembea kwa miguu kugongwa na magari kwa uzembe wao ni ndogo.

Mtembea kwa Miguu ajue pahala pa zebra na taa za kumruhusu kuvuka basi.

The rest aende driving school.
NIlienda Mbeya kitambo kidogo, Dereva kwenye vivuko anasimama, hata kama hakuna wa kuvuka, Hapa Dar ni upumbavu mtupu watu wamejaa kwenye vivuko madereva wanapiga mwendo tu..
 
NIlienda Mbeya kitambo kidogo, Dereva kwenye vivuko anasimama, hata kama hakuna wa kuvuka, Hapa Dar ni upumbavu mtupu watu wamejaa kwenye vivuko madereva wanapiga mwendo tu..

Nafikiri kusimama kwenye kivuko ambacho hakina mtu sio sawa japo kupunguza mwendo ni sahihi. Lakini pia sehemu zenye watu wengi kama kwenye masoko nk wavukaji wanatakiwa watumie akili kujiongoza na maanisha, wajikusanye kidogo ndio wavuke kama kundi. Wakifikiri wao tu ndio wana haki ya kuvuka kisa mistari ya pundamilia, magari yatapita saa ngapi? Japo suhukisho hapa ni vivuko vya juu....
 
Nafikiri kusimama kwenye kivuko ambacho hakina mtu sio sawa japo kupunguza mwendo ni sahihi. Lakini pia sehemu zenye watu wengi, wavukaji wanatakiwa watumie akili kujiongoza na maanisha, wajikusanye kidogo ndio wavuke kama kundi. Wakifikiri wao tu ndio wana haki ya kuvuka kisa mistari ya pundamilia, magari yatapita saa ngapi? Japo suhukisho hapa ni vivuko vya juu....
Shida ni kwamba kuwa na akili timamu siyo kigezo cha mtu kutumia barabara Kuna watoto na vichaa pia wanatumia hizo barabara je usalama wao upo mikononi mwa Nani kama siyo madereva
 
NIlienda Mbeya kitambo kidogo, Dereva kwenye vivuko anasimama, hata kama hakuna wa kuvuka, Hapa Dar ni upumbavu mtupu watu wamejaa kwenye vivuko madereva wanapiga mwendo tu..
Gwa magari yalijazana Dar, madereva, wakisimsma kila Zebra hata pasipo na watu, sio kutengeneza foleni kubwa huko.
.
.na hao watu wanaovuka Zebra kuna maeneo watu wanaovuka hawaishi, gari zinalazimika zipite na watu wasubiri ili wavuke kwa awamu.
 
Shida ni kwamba kuwa na akili timamu siyo kigezo cha mtu kutumia barabara Kuna watoto na vichaa pia wanatumia hizo barabara je usalama wao upo mikononi mwa Nani kama siyo madereva

Pamoja na kwamba Dereva ndiye muhusika mkuu lakini Kila mtu ana husika kwa namna moja au nyingine;
Mfano: Wewe unayevuka barabara unatakiwa uwaelekeze/uwasaidie watoto na walio na changamoro nyingine.
Magari pia hupata hitilafu za breki nk nk hivyo usione tu mistari ya pundamilia ukafikiri upo salama. Ni vizuri utumie akili yako vizuri lakini pia uwasaidie wengine (watoto na wenye changamoto nyingine)
 
Hii elimu ya usalama barabarani mbona kama inatolewa kwa madereva, vipi kuhusu sisi tunaoendesha miguu yetu. Mana tunakufa kizembe sababu baadhi ya alama za barabarani hatuzielewi walaView attachment 3185538
hizi alama kuna maeneo unakuta alama ya tuta ila kwenye barabara hakuna tuta lenyewe
 
Pamoja na kwamba Dereva ndiye muhusika mkuu lakini Kila mtu ana husika kwa namna moja au nyingine;
Mfano: Wewe unayevuka barabara unatakiwa uwaelekeze/uwasaidie watoto na walio na changamoro nyingine.
Magari pia hupata hitilafu za breki nk nk hivyo usione tu mistari ya pundamilia ukafikiri upo salama. Ni vizuri utumie akili yako vizuri lakini pia uwasaidie wengine (watoto na wenye changamoto nyingine)
Alafu Kuna Hawa bodaboda Yaani wanadrive as if wanatembea kwa miguu. They don't care😒😒
 
hizi alama kuna maeneo unakuta alama ya tuta ila kwenye barabara hakuna tuta lenyewe

hizi alama kuna maeneo unakuta alama ya tuta ila kwenye barabara hakuna tuta lenyewe
😂😂Hapo sasa Kuna mawili aidha wamefanya marekebisho ya barabara wakasahau kuweka Tena tuta au viwango vya barabara ni vya mchongo so tuta limelika baada ya kutumika sana
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
😂😂Hapo sasa Kuna mawili aidha wamefanya marekebisho ya barabara wakasahau kuweka Tena tuta au viwango vya barabara ni vya mchongo so tuta limelika baada ya kutumika sana
wamelisahau
 
Dah,nimeendesha vyombo vya moto toka 1982 sijawahi kukutana na hiyo alama ya pili.
 
Back
Top Bottom