heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Unamuhoji rahisi tu ovyo ovyo nani kasema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani mnachanganya mafaili hapa.....Mjapan hajawahi kujisikia aibu kuongea lugha yake, Mchina pia, Mwarabu pia, Mreno pia. Hata Mfaransa pia, Muingereza pia.
Mwarabu ana majina yake ya asili, Mzungu pia, Mchina kabisa halafu kuna Mwafrika wa Kishumundu anayeitwa Precious kwa kushirikiana na Dada yake anayeitwa Khadija wanamcheka msukuma mkokotenu wa watu anayeitwa Zawadi.
Nafikiri kuna tatizo kubwa kwenye kichwa cha mtu mweusi.
Hatukatai English ni lugha kubwa ila inapofikia hatua unamuona Mtanzania mwenzako asiyeweza kunyoosha hiyo lugha kwa ufasaha na huku ukikiona Kiswahili ni fedheha kimaitaifa, that's so low of you, my brother.
You are better than that.
na mengine kamaKweli aisee hao wengine hawakawii kuuliza do you know simba ,Yanga, Aziz Ki ,Pacome and Mobeto?