Mjapan hajawahi kujisikia aibu kuongea lugha yake, Mchina pia, Mwarabu pia, Mreno pia. Hata Mfaransa pia, Muingereza pia.
Mwarabu ana majina yake ya asili, Mzungu pia, Mchina kabisa halafu kuna Mwafrika wa Kishumundu anayeitwa Precious kwa kushirikiana na Dada yake anayeitwa Khadija wanamcheka msukuma mkokotenu wa watu anayeitwa Zawadi.
Nafikiri kuna tatizo kubwa kwenye kichwa cha mtu mweusi.
Hatukatai English ni lugha kubwa ila inapofikia hatua unamuona Mtanzania mwenzako asiyeweza kunyoosha hiyo lugha kwa ufasaha na huku ukikiona Kiswahili ni fedheha kimaitaifa, that's so low of you, my brother.
You are better than that.