Daima kiganjani
Member
- Oct 28, 2020
- 8
- 8
SawasawaTabu yote ya nini si bora nijichange mdogo mdogo.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hivi ndio vinachangia baadhi ya watoto wetu wasifike shule wanaizhia mabandani
Yana soko kiasi gani mkuu niyakusanye huku nilipo, kuna soko la used hapa na je yakiwa yametumika kwa mda upi ndio dili?TANGAZO,TANGAZO,TANGAZO
TUNAKODISHA!
(GAMING CONSOLES)
[emoji1485]15,000/= Kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 3 usiku,
[emoji1485]10,000/= Kuanzia saa 3 usiku mpaka saa 3 asubuhi,
[emoji1485]30,000/= Kwa siku mbili
[emoji1485]50,000/= Kwa wiki nzima
WASILIANA NASI WHASTUP (0777821973 AU +255 777 821 973)
VIGEZO NA MASHARTI
KUTUNZA VIFAA. Mteja anahimizwa kutunza vifaa (PlayStation, Controllers,Wires, na kifaa chochote utakachopewa) kwa uangalifu. Iwapo mteja ataharibu kifaa chochote atawajibika kulipia.
KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM TU.View attachment 1882322View attachment 1882323
Yapi bosiYanasoko kiasi gani mkuu niyakusanye huku nilipo Kuna soko la used hapa na je yakiwa yametumika kwa mda upi ndio dili mkuu nipe dili Kama hutojali
Hizo game mkuuYapi bosi
Unazo huko ulikoHizo game mkuu
Sina mkononi Ila nilitaka kujua zinaweza kuwa na soko nikazinunue kwa soko la vifaa vya electronic usedUnazo huko uliko