Hawa walokole au wanaojiita walokole wamepungukiwa akili, huwezi ukaokoka kabla haujafa.
Unakufa kwanza, unahukumiwa kwa kadiri ya matendo yako, ukipenya kwenda mbinguni hapo sasa ndiyo unakua umeokoka.
Naomba muwaambie wafanye matumizi mazuri ya hizo akili finyu, kama bado zipo
Wasalaam wana JF Kwa wale wanaoamini uzima wa milele yaani maisha baada ya kufa yenye raha (mbinguni) na yale yenye mateso (motoni) Ni hivi, kigezo ni kimoja tu matendo yetu, kwa urahisi wa rejea tusome: Ufunuo 20:13 Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa...
www.jamiiforums.com