Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Mungu baba,Mwana,Roho mtakatifuKristo gani unayemsubiri kuwa atakuja?
Kristo baada ya kupaa mbinguni alisema ataleta msaidizi atakayeweka wazi na kufundisha mambo yote.
Cha msingi ni kuwa huyo roho wa Mungu ndiye Kristo mwenyewe aliye ahidi atakaa ndani yetu.
Sasa sijui unamsubiri Kristo gani, wakati yeye amesema yumo ndani yako?
Yesu Anakuja na Wengine: Maria haokoi...nzengeli ni msabato, kwa habari ya wakatoliki, ni kweli hawaokoki, maria haokoi.
Soma pia Yohana 14:26Kristo gani unayemsubiri kuwa atakuja?
Kristo baada ya kupaa mbinguni alisema ataleta msaidizi atakayeweka wazi na kufundisha mambo yote.
Cha msingi ni kuwa huyo roho wa Mungu ndiye Kristo mwenyewe aliye ahidi atakaa ndani yetu.
Sasa sijui unamsubiri Kristo gani, wakati yeye amesema yumo ndani yako?
Kama kuna Roho mtakatifu/Kristo mwingine unamsubiri unamaanisha lipi? Je hakuna Kristo ndani yako leo?Soma pia Yohana 14:26
Ngoja ikupe ngeu,utasema mwenyewe poo!Labda wewe. Mi kinyume chake.
huwa hachezi ama la anasingizia punda kadondokea kwenye shimoSasa mechi za jmos itakuwaje
Roho mtakatifu ndiye kiongozi kwa Sasa,huyo Roho mtakatifu huyaabadilisha maisha,ndiyo maana unakuta dhamiri ya usitende baya linakujia ni kazi ya Roho mkuu!Kama kuna Roho mtakatifu/Kristo mwingine unamsubiri unamaanisha lipi? Je hakuna Kristo ndani yako leo?
Huyo unayemsubiri akija, yuke uliyenaye siku zote ataenda wapi, ama aliyepo ni feki.
"Ata" wakati ujaoMk 16:16
Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
Unalionaje hilo andiko, lipo sawa na hoja yako?"
kwa maoni yangu na matazamo wangu juu ya hili, kwanza lazima tukubaliane kuwa mpira wenyewe na asili yake haumpi Mungu utukufu, na maandiko yanasema fanyeni kila jambo kwa utukufu wa Mungu. Sasa kwenye huo mpira kuna ushirikina mkubwa wanaajiliwa waganga na mambo mengi ya kishirikina yanafanyika hayo hayampi Mungu utukufuBaada ya Mchungaji Mch. Abiud Misholi Kutamka adharani kwamba ni Ushetani mkubwa Mlokole kushabikia mpira Mwimbaji wa nyimbo za injili na SHABIKI mkubwa wa Yanga African @Ann_annie kafunguka ya moyoni na kusema....
"Kuna Max Nzengeli na Kennedy Musonda wameokoka sasa na wanacheza mpira itakuwaje??
Mabasi yenyewe tunayopanda ni ya washirikina biashara nyingi tunakoenda kununua vitu wawekezaji ni hao hao washirikina, sadaka tunazotuma kwa wachungaji tumezipata kwa hao hao washirikina na cha ajabu wachungaji hawazikatai hizo sadaka ... Niseme tu ni Yesu tu anayetulinda".
Hivi ndivyo alivyofunguka mwimbaji wa gospel, nimemuelewa vizuri kabisa, ila mchungaji Misholi sijamuelewa kabisa.
Bila shaka tunakoelekea, hata kuoga na sabuni ya GSM tutakuja kuambiwa ni dhambi 🤔
Ukiwa mabanda ya mipira ndio utajua ushabiki wa mpira ni mpango wa shetani mabanda ya mipira yametawaliwa na lugha zilizokosa staha kitu kingine ushabiki wa mipira umeliingiza kundi kubwa la watu kuingia kwenye michezo ya kamari ushabiki wa mipira ni mpango wa shetani kuwa mshabiki wa timu Fulani unakuwa umeniunga katika ibada zao huko wanakotoaga makafara kabla ya msimu haujaanzaBaada ya Mchungaji Mch. Abiud Misholi Kutamka adharani kwamba ni Ushetani mkubwa Mlokole kushabikia mpira Mwimbaji wa nyimbo za injili na SHABIKI mkubwa wa Yanga African @Ann_annie kafunguka ya moyoni na kusema....
"Kuna Max Nzengeli na Kennedy Musonda wameokoka sasa na wanacheza mpira itakuwaje??
Mabasi yenyewe tunayopanda ni ya washirikina biashara nyingi tunakoenda kununua vitu wawekezaji ni hao hao washirikina, sadaka tunazotuma kwa wachungaji tumezipata kwa hao hao washirikina na cha ajabu wachungaji hawazikatai hizo sadaka ... Niseme tu ni Yesu tu anayetulinda".
Hivi ndivyo alivyofunguka mwimbaji wa gospel, nimemuelewa vizuri kabisa, ila mchungaji Misholi sijamuelewa kabisa.
Bila shaka tunakoelekea, hata kuoga na sabuni ya GSM tutakuja kuambiwa ni dhambi 🤔
Kwenye unywaji wa pombe andiko la Petro limejibu vyema kuwa pombe nyingi humuathiri mtu hivyo pombe ni kitu Cha tahadhari sio haramuKuna hasara nyingi unapata unapokunywa pombe kuliko faida, correction hakuna faida, kwann unachagua hasara?
Ahaa basi ngoja jioni nikaangalie YANGA kwa umakini,..nikimuona SHETANI naachaMpira ni ibada na vilabu Ni madhehebu ambapo mtu akipenda kilabu Hicho hawezi hama.
Mfano umeamua kuwa Shetani Mwekundu bhasi milele wewe ni Shetani😁
Hapa umedanganya.Hawa walokole au wanaojiita walokole wamepungukiwa akili, huwezi ukaokoka kabla haujafa.
Unakufa kwanza, unahukumiwa kwa kadiri ya matendo yako, ukipenya kwenda mbinguni hapo sasa ndiyo unakua umeokoka.
Naomba muwaambie wafanye matumizi mazuri ya hizo akili finyu, kama bado zipo
Naomba niwakumbushe kwamba tutahukumiwa kwa kadiri ya matendo yetu
Wasalaam wana JF Kwa wale wanaoamini uzima wa milele yaani maisha baada ya kufa yenye raha (mbinguni) na yale yenye mateso (motoni) Ni hivi, kigezo ni kimoja tu matendo yetu, kwa urahisi wa rejea tusome: Ufunuo 20:13 Bahari ikawatoa wafu waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa...www.jamiiforums.com
Duh!...Hawa walokole au wanaojiita walokole wamepungukiwa akili, huwezi ukaokoka kabla haujafa.
Unakufa kwanza, unahukumiwa kwa kadiri ya matendo yako, ukipenya kwenda mbinguni hapo sasa ndiyo unakua umeokoka.
Sijui unabisha nini na hoja yako ni ipi? Maana naona unatoka kwenye mpira na sasa unaenda kwenye sadaka via Mpesa na Tigo pesa.Kama yupo sahihi kwa nini hajawahi kukataa sadaka iliyotumwa kupitia ule mtandao wa washenzi Tigopesa or M-Pesa?
Wachungaji wapo speed kusambaza in public namba za kutuma sadaka ilhali watumaji ni hao hao mashrtani, upo wapi usahihi wa mchungaji?
Hakika, majira na nyakati ni hizi.
Ni sahihi. Nakumbuka wakati nikiwa shabiki damudamu wa Chelsea na maono niliyoyaona ya lile Simba lililoshika mkuki kwenye logo ya Chelsea kama linatema moto hivi na uhalisia wake katika ulimwengu wa Roho.Mpira ni ibada na vilabu Ni madhehebu ambapo mtu akipenda kilabu Hicho hawezi hama.
Mfano umeamua kuwa Shetani Mwekundu bhasi milele wewe ni Shetani😁
Kristo atakuja mara ya pili kulichukua kanisaKristo gani unayemsubiri kuwa atakuja?
Kristo baada ya kupaa mbinguni alisema ataleta msaidizi atakayeweka wazi na kufundisha mambo yote.
Cha msingi ni kuwa huyo roho wa Mungu ndiye Kristo mwenyewe aliye ahidi atakaa ndani yetu.
Sasa sijui unamsubiri Kristo gani, wakati yeye amesema yumo ndani yako?
Ataondoka na huo ndio unyakuo wa kwanza, wawili watakuwa wamelala mmoja atwaliwa mmoja aachwa, wawili watakuwa shambani, mmoja atwaliwa mmoja aachwaKama kuna Roho mtakatifu/Kristo mwingine unamsubiri unamaanisha lipi? Je hakuna Kristo ndani yako leo?
Huyo unayemsubiri akija, yuke uliyenaye siku zote ataenda wapi, ama aliyepo ni feki.
Mpira ni ushetani,