Tunakoelekea kuoga na Sabuni Pia tutaambiwa ni dhambi

Tunakoelekea kuoga na Sabuni Pia tutaambiwa ni dhambi

Nimeandika na kufuata mara tano nimeona niache tu. Itoshe kusema watu hawamjui Mungu wala shetani japo wanashinda kwenye nyumba za ibada
 
Huyo Mchungaji Misholi yupo sahihi kabisa na kasema ukweli shida inakuwa ni kwa wapokeaji na ambao kilichosemwa kinawagusa lazima watafute kichaka cha kujifichia huyo aliyempinga kwa hoja dhaifu mkumbushe njia ya kwenda uzimani ni nyembamba sana na waipitao ni wachache kwa maana ya kwamba hiyo njia ina kujikana nafsi sana kwa kutoyapenda ya ulimwengu na kufuata amri, sheria na maagizo ya Mungu tu

Kinyume na hapo wewe hamia njia ya upotevuni huko wapo wengi ambao hawa hufanya wapendayo wao tu hawana amri sheria nk
Hebu tuelezee huo wembamba wa njia inamaanisha nini? Halafu tuambie uhusiano wa njia nyembamba na mpira
 
🤣🤣🤣🤣muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kutengeneza pombe, lakini mlokole hawezi kukubali sehemu iyo
Ile haikuwa pombe,ilikuwa juisi ya zabibu tena ilikuwa njema na tamu na fresh.(haijachachuka).
Ila pombe ni stage ya fermentation ya kuchachuka .
ingekuwa pombe kwa jinsi ilivyokuwa tamu vile na nyingi kiasi kile lazima walevi wangelewa lakini hakuna aliyekewa.
 
Ile haikuwa pombe,ilikuwa juisi ya zabibu tena ilikuwa njema na tamu na fresh.(haijachachuka).
Ila pombe ni stage ya fermentation ya kuchachuka .
ingekuwa pombe kwa jinsi ilivyokuwa tamu vile na nyingi kiasi kile lazima walevi wangelewa lakini hakuna aliyekewa.
Kuna wakati muwage mnaficha aibu bana. Haya unajitungia wewe. Kusema tamu kama haiondoi thana kuwa alitengeneza divai
 
YESU hakutengeneza pombe.Pombe na ulevi ni haramu ni dhambi.Hata divai inayotakiwa kutumika kushiriki meza ya Bwana ,inatakiwa iwe non alcoholic.Yesu hakuwa mlevi.Wala hakuruhusu watu wanywe pombe wala hakuruhusu ulevi.
 
pombe ni haramu
 

Attachments

  • Screenshot_20241004-152101.jpg
    Screenshot_20241004-152101.jpg
    334.4 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241004-152109.jpg
    Screenshot_20241004-152109.jpg
    329.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241004-152113.jpg
    Screenshot_20241004-152113.jpg
    272.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241004-152117.jpg
    Screenshot_20241004-152117.jpg
    298.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241004-152122.jpg
    Screenshot_20241004-152122.jpg
    370.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241004-152129.jpg
    Screenshot_20241004-152129.jpg
    358 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241004-152136.jpg
    Screenshot_20241004-152136.jpg
    141.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241004-152140.jpg
    Screenshot_20241004-152140.jpg
    197 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241004-152143.jpg
    Screenshot_20241004-152143.jpg
    179.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241004-152147.jpg
    Screenshot_20241004-152147.jpg
    196.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241004-152152.jpg
    Screenshot_20241004-152152.jpg
    217.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241004-152156.jpg
    Screenshot_20241004-152156.jpg
    193.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241004-152204.jpg
    Screenshot_20241004-152204.jpg
    133.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241004-152208.jpg
    Screenshot_20241004-152208.jpg
    204.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241004-152213.jpg
    Screenshot_20241004-152213.jpg
    178.6 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241004-152211.jpg
    Screenshot_20241004-152211.jpg
    232.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241004-152219.jpg
    Screenshot_20241004-152219.jpg
    142.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241004-152223.jpg
    Screenshot_20241004-152223.jpg
    217.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241004-152228.jpg
    Screenshot_20241004-152228.jpg
    199.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241004-152232.jpg
    Screenshot_20241004-152232.jpg
    190.3 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241004-152239.jpg
    Screenshot_20241004-152239.jpg
    209.5 KB · Views: 1
  • Screenshot_20241004-152235.jpg
    Screenshot_20241004-152235.jpg
    135.5 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241004-152242.jpg
    Screenshot_20241004-152242.jpg
    154.1 KB · Views: 2

Mathayo 24:13​

Lakini atakayevumilia mpaka mwisho ndiye atakayeokolewa.
Lazima ujue atakayevumilia nini? hapo Yesu alikuwa anamaanisha atayeweza kushikilia imani yake katikat ya changamoto za dunia huyo ataokolewa, cha kwanza lazima huyo mtu awe ameamini na kubatizwa(kuokoka) yaani kumkiri Yesu
 
Waliteswa, wakafa, wakazikwa kisha wakafufuka pamoja na Kristo katika mauti yake.

Leo hii wako ndani ya Kristo. Na Kristo ameketi mbinguni kwa Mungu baba.
Maana yake wao wapo Mbinguni ndani ya Kristo, ndio maana ya Kuokolewa na Kristo.
UONGO

1 Kor 15:51-53​

"Angalieni, nawaambia ninyi siri; hatutalala sote, lakini sote tutabadilika, kwa dakika moja, kufumba na kufumbua, wakati wa parapanda ya mwisho; maana parapanda italia, na wafu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu, nasi tutabadilika. Maana sharti huu uharibikao uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa uvae kutokufa"

Wafu wote ,iwe ni wema au wabaya wapo kaburini. Yesu akija Wema tu watafufuliwa waende mbinguni kwa miaka 1000 , waovu watabaki makaburini kusubiri hiyo miaka 1000
 
Lazima ujue atakayevumilia nini? hapo Yesu alikuwa anamaanisha atayeweza kushikilia imani yake katikat ya changamoto za dunia huyo ataokolewa, cha kwanza lazima huyo mtu awe ameamini na kubatizwa(kuokoka) yaani kumkiri Yesu
Yule mwizi wa aliyeahidiwa uzima na Yesu msalabani ulimbatiza wewe
 
mfano sigara ni dhambi lakini ukitegemea ukute mstari ktk biblia ulooandika usivute sigara unaweza usiipate.
ila tunajua sigara ina madhara katika afya kadhalika pombe ina madhara katika afya.
Kuharbu afya ya miili yetu ni dhambi,ni sawa na kunywa sumu ,kujiua,au kujidhuru mwili.Mana miili yetu ni hekalu la Roho mtakatifu tumekabidhiwa na Mungu tuitunze na si kuiharibu.Tena tumenunuliwa kwa gharama kubwa ya damu ya Yesu ili tupate uzima .Ni makosa kujidhuru kwa vile miili yetu siyo yetu tumepewa dhamana ya kuitunza .Na tule na kunywa na yote tutakayoyafanya tufanye kwa utukufu wa MUNGU TU.Pombe sigara ushabiki wa mipira na anasa za dunia ikiwemo uzinzi KUBETI KAMARI vingi mfano wa Mambo hayo ni ya anasa za kidunia vitu hivyo havimtukuzi Mungu ,kujiremba kukipamba na kumsahisha uumbaji wa Mungu alivyokuumba n.k ni chukizo.
 
Yule mwizi wa aliyeahidiwa uzima na Yesu msalabani ulimbatiza wewe
sasa wewe ni Yesu? Yesu ametoa maagizo Enendeni ulimwenguni mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi wangu mkiwabatiza, maana yake unapomuamini Yesu unatakiwa ubatizwe na hapo unakuwa umekaa upande wake
 
Ile haikuwa pombe,ilikuwa juisi ya zabibu tena ilikuwa njema na tamu na fresh.(haijachachuka).
Ila pombe ni stage ya fermentation ya kuchachuka .
ingekuwa pombe kwa jinsi ilivyokuwa tamu vile na nyingi kiasi kile lazima walevi wangelewa lakini hakuna aliyekewa.
Unajua Mungu ameweka pombe kwa ajili ya kuleta furaha baada ya kazi ngumu? Au hakuna andiko linalounga mkono pombe?
 
sasa wewe ni Yesu? Yesu ametoa maagizo Enendeni ulimwenguni mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi wangu mkiwabatiza, maana yake unapomuamini Yesu unatakiwa ubatizwe na hapo unakuwa umekaa upande wake
mkuu hapo unakuwa mwanafunzi wake, na ni kweli unakuwa upande wake. suala la kuokoka sasa ni mpaka uvumilie hadi mwisho ndo uokoke
 
Angesema tupunguze mahaba ya simba na yanga tujikite zaidi kwenye kufanya kazi na kuoigania haki zetu. Angekuwa sahihi..

Hivi kweli kiongozi wa nchi kuna sehemu hazina hospital, madarasa na choo kwenye shule. Unatoa pesa kwa kila goli unakuwa sawa kwenye akili yako?
 
Back
Top Bottom