Tunakosea wapi?


Asante kwa mchango wako

Cc Kingsmann
 
Nadhani mkanganyiko unatokea sababu malezi uliopewa na wazazi wako ni ngumu kuyaapply kwa watoto wako sababu ya utandawazi



Cc Kingsmann
Utandawazi una madhara makubwa zaidi kwa watu wasiojielewa, Wazungu hawajaathirika sana na tamaduni za kiafrika wanatuona kama jana yao. Sababu tunajitaidi kua kama wao, na sio kuendeleza tulichonacho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…