CHIBA One
JF-Expert Member
- Nov 16, 2018
- 558
- 2,093
Umiliki wa magari kwa sasa ni hitaji Muhimu sana kwa maisha yetu.
Na ni ndoto ya kila mtu kuwa na gari kwa sasa, kijana wa kiume na wa kike ukimuuliza katika "To do Goal" yake Kununua gari ni moja ya Lengo lake.
Soko la magari mengi yanayoingia nchini ni kutoka Japan na ni gari zetu hizi za toyota, na ndio kiukweli tunazimudu kulingana na hali zetu...Sasa kuna haja hawa watu wakashauriwa huko Kwenye manufacturing industries angalau pamoja na yote Wazingatie usalama wa mtumiaji.
Gari ukipalamia mpapai Bampa nyang'anyang'a na wewe ni wa kulazwa...hapo usiombe ukagonga punda au ng'ombe basi ni kifo. Gari zetu nyingi ukishafika 80Kph uko kwenye hatari ya kufa endapo itatokea ajali ya ghafla..wajapan walichoweka ni Airbags tu, lakini umezungukwa na ma plastic tupu ambayo hayakupi usalama wowote.
Na huenda wakaendelea kutuletea mabox zaidi kwa bei nafuu miaka ijayo sababu ndiyo tunayataka. NAWASILISHA.
Na ni ndoto ya kila mtu kuwa na gari kwa sasa, kijana wa kiume na wa kike ukimuuliza katika "To do Goal" yake Kununua gari ni moja ya Lengo lake.
Soko la magari mengi yanayoingia nchini ni kutoka Japan na ni gari zetu hizi za toyota, na ndio kiukweli tunazimudu kulingana na hali zetu...Sasa kuna haja hawa watu wakashauriwa huko Kwenye manufacturing industries angalau pamoja na yote Wazingatie usalama wa mtumiaji.
Gari ukipalamia mpapai Bampa nyang'anyang'a na wewe ni wa kulazwa...hapo usiombe ukagonga punda au ng'ombe basi ni kifo. Gari zetu nyingi ukishafika 80Kph uko kwenye hatari ya kufa endapo itatokea ajali ya ghafla..wajapan walichoweka ni Airbags tu, lakini umezungukwa na ma plastic tupu ambayo hayakupi usalama wowote.
Na huenda wakaendelea kutuletea mabox zaidi kwa bei nafuu miaka ijayo sababu ndiyo tunayataka. NAWASILISHA.