Tunakufa Kwa ajali Sometimes sababu Ya usalama Mdogo wa Magari yetu

Tunakufa Kwa ajali Sometimes sababu Ya usalama Mdogo wa Magari yetu

CHIBA One

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2018
Posts
558
Reaction score
2,093
Umiliki wa magari kwa sasa ni hitaji Muhimu sana kwa maisha yetu.

Na ni ndoto ya kila mtu kuwa na gari kwa sasa, kijana wa kiume na wa kike ukimuuliza katika "To do Goal" yake Kununua gari ni moja ya Lengo lake.

Soko la magari mengi yanayoingia nchini ni kutoka Japan na ni gari zetu hizi za toyota, na ndio kiukweli tunazimudu kulingana na hali zetu...Sasa kuna haja hawa watu wakashauriwa huko Kwenye manufacturing industries angalau pamoja na yote Wazingatie usalama wa mtumiaji.

Gari ukipalamia mpapai Bampa nyang'anyang'a na wewe ni wa kulazwa...hapo usiombe ukagonga punda au ng'ombe basi ni kifo. Gari zetu nyingi ukishafika 80Kph uko kwenye hatari ya kufa endapo itatokea ajali ya ghafla..wajapan walichoweka ni Airbags tu, lakini umezungukwa na ma plastic tupu ambayo hayakupi usalama wowote.


Na huenda wakaendelea kutuletea mabox zaidi kwa bei nafuu miaka ijayo sababu ndiyo tunayataka. NAWASILISHA.
 
Umiliki wa magari kwa sasa ni hitaji Muhimu sana kwa maisha yetu.

Na ni ndoto ya kila mtu kuwa na gari kwa sasa, kijana wa kiume na wa kike ukimuuliza katika "To do Goal" yake Kununua gari ni moja ya Lengo lake....
Ripoti za uchunguzi wa ajali nyingi hii sio sababu...ajali nyingi ni uzembe wa madereva (ulevi, mwendokasi, uchovu, kutofuata alama na sheria za barabarani...nk) na watumiaji wengine wa Barabara.

Bora hata ungesema "mechanical failure'' nayo ni moja ya chanzo. Uwepo wa maplastick unayosema yanaokoa Zaidi maisha inapotokea ajali kuliko mavyuma. Soma ripoti za ajali utaona sbb zenye tija
 
Ripoti za uchunguzi wa ajali nyingi hii sio sababu...ajali nyingi ni uzembe wa madereva (ulevi,mwendokasi,uchovu,kutofuata alama na sheria za barabarani...nk) na watumiaji wengine wa Barabara. Bora hata ungesema "mechanical failure'' nayo ni moja ya chanzo. Uwepo wa maplastick unayosema yanaokoa Zaidi maisha inapotokea ajali kuliko mavyuma. Soma ripoti za ajali utaona sbb zenye tija
Lakini mimi sijaongelea chanzo cha ajali.

Nimeongelea Impact after accidents.

Read it again.
 
Umenena mkuu,

Tatizo na shida kuu ya watanzania ni kasumba ya kusema eti "Ajali ni mpango wa Mungu ikipangwa imepangwa" ...Hii kauli ni ya kijinga sana inayozidi kuwamaliza watanzania wajinga wasiotii sheria za barabarani na kuchukua tahadhari zote kabla ya safari na wawapo safarini...

Tutazidi kuangamia hadi pale akili zitakapo kaa sawasawa.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Jitahidi usiparamie mpapai mkuu. Hakuna gari ambayo ni death au accident proof. Ukiitwanga vizuri unakwenda mbinguni. Gari nyingi za kijapan hapa Tz ni used from Japan, yaani walitumia wajapan wenyewe. Sidhani kama wajapan wenyewe watajitengenezea kitu kibovu.
 
Nimeona picha ya ajali ya Ile spacio imegongana na lorry na kusababisha ndugu wa familia moja kufa....Ile gari imejifinya kama karatasi hiviiii, magari ya sikuhizi kuanzia European cars na Japanese cars wanatumia fiber material balada ya bati gumu ndiyo maana ukipiga mzinga unakuwa babukubwa
 
Kwakweli nna corolla yangu 110 kikubwa ninachofanya ni kui pimp tu imekua ya kisasa lakn sitokuja kuiuza abadani na dream car yangu ni land cruiser limited ya miaka ya 80's
 
Kwakweli nna corolla yangu 110 kikubwa ninachofanya ni kui pimp tu imekua ya kisasa lakn sitokuja kuiuza abadani na dream car yangu ni land cruiser limited ya miaka ya 80's
110 ina usalama mkubwa zaidi au kwa nini mkuu?
 
Boss gari za zaman hata utengenezwaji wake ulikua ni bati ngumu nakupa mfano kifo cha marehem mgombea aliekua anagombea kipindi magu anaingia 2015 alipata ajali na corola na ilibilingita lakini ile gari ilivunjika vioo tu na marehem alikufa sabab hakufunga mkanda wwnzie wote walipona then chukulia picha ingekua mark x au crown au vits ingekuaje
 
😄😄 Wana JF bana,wanapenda vitu vigumu vigumu Kama Ni sifa vile.

Wengine wanadhani kuweka ngao kwny Gari'kwa logic Ile ile ya kupenda vitu vigumu vigumu' Ni Salama Sana kwny Gari kuliko kutokuweka ngao.Hawajui hata zilishapigwa hesabu hapo na wataalam za namna Gari ikigongana/ikigonga inavyoweza ku-absorb hio shock,wao wanaweka ngao na ku-defy hesabu za wataalam na wakigongana inakua shughuli.

Swali linakuja Ni model gani tunazotumia hapa Tz za wajapan(tuchukulie mfano za Toyota) ambazo zimetengenezwa special kwa ajili ya Africa tu ili tujue haya magari tunayolalamikia sisi(waafrika) yanatumiwa na waafrika tu au na wajapan/Asia wanayatumia magari hayahaya?
 
Umiliki wa magari kwa sasa ni hitaji Muhimu sana kwa maisha yetu.

Na ni ndoto ya kila mtu kuwa na gari kwa sasa, kijana wa kiume na wa kike ukimuuliza katika "To do Goal" yake Kununua gari ni moja ya Lengo lake.

Soko la magari mengi yanayoingia nchini ni kutoka Japan na ni gari zetu hizi za toyota, na ndio kiukweli tunazimudu kulingana na hali zetu...Sasa kuna haja hawa watu wakashauriwa huko Kwenye manufacturing industries angalau pamoja na yote Wazingatie usalama wa mtumiaji.

Gari ukipalamia mpapai Bampa nyang'anyang'a na wewe ni wa kulazwa...hapo usiombe ukagonga punda au ng'ombe basi ni kifo. Gari zetu nyingi ukishafika 80Kph uko kwenye hatari ya kufa endapo itatokea ajali ya ghafla..wajapan walichoweka ni Airbags tu, lakini umezungukwa na ma plastic tupu ambayo hayakupi usalama wowote.


Na huenda wakaendelea kutuletea mabox zaidi kwa bei nafuu miaka ijayo sababu ndiyo tunayataka. NAWASILISHA.
Kwanza unachotakiwa kuelewa ni kwamba haya Magari mengi na kama siyo yote tunayonunua hayakutengenezwa kwa ajili ya matumizi na mazingira yetu. Lakini wewe kwa umaskini wako unaenda kununua tena likiwa Used la miaka 18 iliyopita. Sasa kosa ni la mjapan au wewe na umaskini wako??
 
Umiliki wa magari kwa sasa ni hitaji Muhimu sana kwa maisha yetu.

Na ni ndoto ya kila mtu kuwa na gari kwa sasa, kijana wa kiume na wa kike ukimuuliza katika "To do Goal" yake Kununua gari ni moja ya Lengo lake.

Soko la magari mengi yanayoingia nchini ni kutoka Japan na ni gari zetu hizi za toyota, na ndio kiukweli tunazimudu kulingana na hali zetu...Sasa kuna haja hawa watu wakashauriwa huko Kwenye manufacturing industries angalau pamoja na yote Wazingatie usalama wa mtumiaji.

Gari ukipalamia mpapai Bampa nyang'anyang'a na wewe ni wa kulazwa...hapo usiombe ukagonga punda au ng'ombe basi ni kifo. Gari zetu nyingi ukishafika 80Kph uko kwenye hatari ya kufa endapo itatokea ajali ya ghafla..wajapan walichoweka ni Airbags tu, lakini umezungukwa na ma plastic tupu ambayo hayakupi usalama wowote.


Na huenda wakaendelea kutuletea mabox zaidi kwa bei nafuu miaka ijayo sababu ndiyo tunayataka. NAWASILISHA.
Hizo ni Crumple zones..zipo maalamu kwa ajili kupunguza impact ya accident kwa occupants na pedestrian..ndo maana gari safety ratings zake inapimwa kwa uwezo crumple zone ku absorb impact ya ajali huku impact energy isiwafikie occupants kwa ukubwa, lakini pia ikitokea imegonga pedestrian basi bumper la plastic liweze kupunguza impact ya ajili..


Na tambua ajali zote zinazotea si fault ya gari bali ni faults ya madereva (95%}
 
Back
Top Bottom