Tunakufa Kwa ajali Sometimes sababu Ya usalama Mdogo wa Magari yetu

Mkuu kwa usalama zaidi kuna vifaru urusi unaweza kuagiza tu ukaendesha ili usife kwa ajali. Kama gari lazma iwekwe material laini yasiokuumiza wakati wa impact. Yani gari iharibike ila utoke salama ndio dhumuni la airbags na body laini.
 
Ni uongo ama ukweli mkuu? Maana uzi huu sio wa kuponda magari yajapani, ila ndo ukweli, mimi mwenyewe namiliki gari ya mjapan
Wewe endesha gari kwa akili usigonge mipapai. Acha ulevi!!!

Mtu anatanua kijinga akipewa kubwa anaanza kusema ni mipango ya Mungu. Hakuna Mungu anayekupangia ufe kizembe. Upuuzi wa kutanua hovyo ndo unawauwa vibaya huko highway
 
Dereva wa kibongo anawazaga kukimbia tu bila tahadhari.
 
Sasa. Marehem kwanini asifunge mkanda nae. Huoni alizembea mwenyewe
 
Bongo mtu anataka gari ya million 15 impe safety ya gari ya million 150.
 
Naona unauchukulia poa mpapai...
So ukiwekewa china tupu ukimgonga boda inakuaje, au mtembea kwa miguu, au ukigongana na chums kingine
 
Na bado kuna mtu aliuliza kwanini mchina hatengenezi gari ndogo hizi za bei chee.
Yaani kuulizia kifo kwa ziraili.
Alijibiwa yapo ila ni ya umeme.
Sipati picha gari ya mchina ya kuchaji.
Aisee hapo utajikuta sebuleni kwa Mungu bila hodi
 
Mkuu kwa usalama zaidi kuna vifaru urusi unaweza kuagiza tu ukaendesha ili usife kwa ajali. Kama gari lazma iwekwe material laini yasiokuumiza wakati wa impact. Yani gari iharibike ila utoke salama ndio dhumuni la airbags na body laini.
Aisee Nimecheka sanaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…,
Aagize kifaru tu Ukraina
 
Bongo mtu anataka gari ya million 15 impe safety ya gari ya million 150.
Exactly! Tena gari la miaka 30 iliyopita. Utasikia "Rav4 old model ni gari gumu sana". Sasa unataka gari gumu kwani unakwenda kuling'olesha visiki jamani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…