GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Let us prepare ourselves to dig deep from our empty and poor Pockets.
Kudadadeki.
Kudadadeki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole sanaNakumbuka tarehe 1/7 tulimpoteza rafiki yetu, haikua siku nyepesi lakini ilipita.
Asante ndugu.pole sana
"Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu"
Huu mstari unanifikirisha sana, anyways tutafute hela.
Kwanza wanasema ni mafupi,then yenye taabu[emoji23][emoji23], huzuni tupuMstari umejaa vitisho huu na simanzi
Kwenye biblia kiukweli Kuna mistari yenye ukweli mchungu sana kiasi kwamba Huwa sio rahisi kusomwa na viongozi wa kidini maana na wenyewe inawahusu[emoji119][emoji119]Kwanza wanasema ni mafupi,then yenye taabu[emoji23][emoji23], huzuni tupu
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye biblia kiukweli Kuna mistari yenye ukweli mchungu sana kiasi kwamba Huwa sio rahisi kusomwa na viongozi wa kidini maana na wenyewe inawahusu[emoji119][emoji119]
Ndio hivyo mkuu.. sio rahisi kukuta Galatia 5:19 inasomwa somwa kwenye ibada[emoji38][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Nambo yanatisha Mkuu [emoji23]Ndio hivyo mkuu.. sio rahisi kukuta Galatia 5:19 inasomwa somwa kwenye ibada[emoji38][emoji1787]
Siku zinakatika tu kama Ally's 🌟 anavyozikata Semi Trailers, kibaya zaidi sioni cha maana saaana nilichofanya tangu JanuaryLet us prepare ourselves to dig deep from our empty and poor Pockets.
Kudadadeki.
Hakika[emoji119][emoji119][emoji1]Nambo yanatisha Mkuu [emoji23]
19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri nayo ni haya: uasherati, uchafu, ufisadi, 20 kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, mafarakano, uzushi, 21 husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine yanayofanana na hayo. Nawaonya, kama nilivyokwisha waonya kabla, kwamba watu watendao mambo kama haya, hawataurithi Ufalme wa Mungu.Ndio hivyo mkuu.. sio rahisi kukuta Galatia 5:19 inasomwa somwa kwenye ibada[emoji38][emoji1787]
Sasa mostly haya mambo tajwa hapa kila mtu anayo. Mpaka hao so called watumishi wa Mungu [emoji1787]19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri nayo ni haya: uasherati, uchafu, ufisadi, 20 kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, mafarakano, uzushi, 21 husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine yanayofanana na hayo. Nawaonya, kama nilivyokwisha waonya kabla, kwamba watu watendao mambo kama haya, hawataurithi Ufalme wa Mungu.
Ni kweli kabisa, tena wengine ndo vinaraSasa mostly haya mambo tajwa hapa kila mtu anayo. Mpaka hao so called watumishi wa Mungu [emoji1787]
wanasema ukiwa ndani ya Yesu ni raha 😂 😂Kwenye biblia kiukweli Kuna mistari yenye ukweli mchungu sana kiasi kwamba Huwa sio rahisi kusomwa na viongozi wa kidini maana na wenyewe inawahusu[emoji119][emoji119]