Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Tangu uzi umeanzishwa nilijua Gachuma kafananishwa na yule mwamba aliyewakomalia wale "mazuzu" waliotumwa kumsumbua jamaa kule Mara halafu akawatolea bastola kwenye kituo cha mafuta.Gachuma hakuwahi kuwa na tuhuma zozote wakati wa awamu ya 5 na ndio maana ni kati ya Wadhamini wa CCM.
Anamfananisha na yule mtu wa Mara aliempiga risasi mtu asiejulikanaWewe mleta mada ebu acha uwongo wako! Ebu eleza vizuri ni lini Christopher Mwita Gachuma alikamatwa wakati wa Serikali ya awamu ya 5!
Mzee Gachuma ni kiongozi na mfanyabiashara anayeheshimika Nchini na ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (MNEC), Mjumbe na Mwenyekiti wa Bodi mbalimbali hapa Nchini na Mwekezaji Mkubwa katika Sekta ya Viwanda ( Anajua umuhimu wa Umeme)! Sasa wewe ulitaka uteuliwe wewe kwenye hiyo Bodi ya TANESCO!
Tatizo nyie vijana wa CHADEMA akili zenu zimedumaa sana! Mnadhani kila kazi ni Ajira! Ujumbe wa Bodi unahitaji mtu mwenye uzoefu mpana acha chuki za kijinga!
Mwalifu! Mhalifu ingependeza zaidi.Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.
Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.
Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?
Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Kwani wewe una hakika gani kama kweli alikuwa mhalifu? Na kama mhalifu unadhani kwanini alitoka? Awamu ya tano iliwavika watu uhujumu, unyang'anyi pamoja na utakatishaji fedha tena wengi wao pasipo hatia.Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.
Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.
Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?
Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Kwa pamoja tuungane kudai Katiba mpya vinginevyo utaendelea kupiga mayowe mpaka uzeeke
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Tulisaidie Taifa kwa maombi au kwa njia yoyote inayofaa. Awamu iliyopita Gachuma alikamatwa kwa tuhuma mbalimbali na kufikishwa mahakamani Kisha kunyimwa dhamana.
Wakati tukiwa kwenye sintofahamu kuhusu uhalifu aliotenda, Serikali ile ile, chama kilekile na watu walewale leo hii wameteu mtu yuleyule kwenda kwenye bodi nyeti ya Tanesco.
Naomba kujua kwanini hatuna utaratibu wa kuweka vigezo kupata watu kwenye taasisi nyeti na maeneo nyeti?
Kwamba wakati wa awamu ya Tano alionewa na kudhalilishwa bila hatia au imekaaje?
Wanamchanganya na zakariaAcha uongo wa mchana kweupe wewe!
Gachuma hajawahi kukamatwa wala kutuhumiwa kwa lolote.
Nikukumbushe,yeye ndie alikuwa mwenyekiti wa kamati ya ukarabati wa kituo cha televisheni CHANEL TEN. Mwaka jana,Hayati Magufuli alimpongeza kwa kazi nzuri aliyofanya katika jukumu hilo wakati wa uzinduzi wa studio mpya za kituo hicho.
Acheni uongo na chuki zenu kwa serikali hii na kuanza harakati za kichafua watu bila sababu.
Wanamchanganya na zakariaMkuu nadhani unapotosha kwa makusudi au unamchanganya Mzee Gachuma na mtu mwingine.
huyu mzee ni Mjumbe Halmashauri kuu CCM Taifa na ni mmoja ya wajumbe wa baraza la wadhamini wa CCM lililoundwa na hayati.
hajawahi kufungwa awamu ya 5