May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Imeandikwa "Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"...na ndio kinachoendelea kwa sasa.
Kuna wakati ukijaribu ku imagine huyu Mungu anatuchukuliaje ni ngumu sana kupata jibu.
Tunachojaribu kumfanyia Mungu kwa sasa ni kama Mtu usikie kilio kikali cha Mtoto ndani alafu ukiingia unamkuta kaweka mkono juu ya mshumaa unaowaka...unaweza ushindwe kuongea chochote maana huna uhakika kama ukimwambia atoe mkono juu ya huo mshumaa atakuelewa au ndio kabisa ataweka na uso.
Kuna wakati ukijaribu ku imagine huyu Mungu anatuchukuliaje ni ngumu sana kupata jibu.
Tunachojaribu kumfanyia Mungu kwa sasa ni kama Mtu usikie kilio kikali cha Mtoto ndani alafu ukiingia unamkuta kaweka mkono juu ya mshumaa unaowaka...unaweza ushindwe kuongea chochote maana huna uhakika kama ukimwambia atoe mkono juu ya huo mshumaa atakuelewa au ndio kabisa ataweka na uso.