Tunalia Watanzania


"Tutadumisha umoja Upendo uliyo tuhusia"
Huo msitari nina mashaka nao
 
Itakuja siku moja tena tutaonana tena,[emoji848][emoji3064] Riep Kim
 
Asseeerrr
kifo ni 🥴🥴🥴...

"Unaweza kuajiri mtu aendeshe gari lako au kupata pesa kwa ajili yako, lakini huwezi kuajiri mtu wa kubeba ugonjwa na kufa kwa ajili yako.Vitu vilivyopotea vinaweza kupatikana. Lakini kuna jambo moja ambalo haliwezi kupatikana wakati limepotea, "maisha".

Tukiwa katika hatua yoyote ya maisha, baada ya muda tutakabiliana na siku ambayo pazia litafungwa mbele yetu. Penda familia yako, mwenzi wako na marafiki. Watendee mema,watunze."- Stev
 
Acha tu
 
R.I.P sista mungu akurehemu.😭😭😭😭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…