Tunalia Watanzania

Tunalia Watanzania

Tutakuenzi kwa mengi mazuri uliyotufanyia,
Tutadumisha umoja Upendo uliyo tuhusia,
Itakuja siku moja tena tutaonana tena,
Uliyoagizwa umefanya ulale mahala pema,
Hivi ndio kweli hatukuoni tena,
Itakuaje ile mitano tena,
Wasanii tulikupenda sana,
Wanakulilia wakina mama.


"Tutadumisha umoja Upendo uliyo tuhusia"
Huo msitari nina mashaka nao
 
Tutakuenzi kwa mengi mazuri uliyotufanyia,
Tutadumisha umoja Upendo uliyo tuhusia,
Itakuja siku moja tena tutaonana tena,
Uliyoagizwa umefanya ulale mahala pema,
Hivi ndio kweli hatukuoni tena,
Itakuaje ile mitano tena,
Wasanii tulikupenda sana,
Wanakulilia wakina mama.
Itakuja siku moja tena tutaonana tena,[emoji848][emoji3064] Riep Kim
 
Asseeerrr
kifo ni 🥴🥴🥴...

"Unaweza kuajiri mtu aendeshe gari lako au kupata pesa kwa ajili yako, lakini huwezi kuajiri mtu wa kubeba ugonjwa na kufa kwa ajili yako.Vitu vilivyopotea vinaweza kupatikana. Lakini kuna jambo moja ambalo haliwezi kupatikana wakati limepotea, "maisha".

Tukiwa katika hatua yoyote ya maisha, baada ya muda tutakabiliana na siku ambayo pazia litafungwa mbele yetu. Penda familia yako, mwenzi wako na marafiki. Watendee mema,watunze."- Stev
 
kifo ni [emoji3061][emoji3061][emoji3061]...

"Unaweza kuajiri mtu aendeshe gari lako au kupata pesa kwa ajili yako, lakini huwezi kuajiri mtu wa kubeba ugonjwa na kufa kwa ajili yako.Vitu vilivyopotea vinaweza kupatikana. Lakini kuna jambo moja ambalo haliwezi kupatikana wakati limepotea, "maisha".

Tukiwa katika hatua yoyote ya maisha, baada ya muda tutakabiliana na siku ambayo pazia litafungwa mbele yetu. Penda familia yako, mwenzi wako na marafiki. Watendee mema,watunze."- Stev
Acha tu
 
R.I.P sista mungu akurehemu.😭😭😭😭
 
Back
Top Bottom