Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Ndugu Mtwenya Silas alizaliwa mnamo mwaka 1998 wilaya ya Busega kata ya Shigala mkoa wa Simiyu.
Ndugu walipewa Habari za kifo cha ndugu yao aliyepatikana akiwa amechinjwa wilayani Kahama, bado haijajulikana chanzo halisi cha kifo cha ndugu Mtwenya Silas.
Hivyo basi tunaliomba Jeshi la polisi wilayani kahama liharakishe uchunguzi kubaini chanzo halisi cha kifo cha ndugu Mtwenya Silas
Ndugu walipewa Habari za kifo cha ndugu yao aliyepatikana akiwa amechinjwa wilayani Kahama, bado haijajulikana chanzo halisi cha kifo cha ndugu Mtwenya Silas.
Hivyo basi tunaliomba Jeshi la polisi wilayani kahama liharakishe uchunguzi kubaini chanzo halisi cha kifo cha ndugu Mtwenya Silas