Tunamaliza mwaka 2021 taifa limegawanyika na CCM imegawanyika

Tunamaliza mwaka 2021 taifa limegawanyika na CCM imegawanyika

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Hakika ninawaambia, wanaccm mliopo madarakani hivi sasa hamko salama endapo msipoushuguhulikia mgawanyiko huu wa kitaifa.

Kuna nyakati tuliheshiana, tulibishana na kupinganga kwa hoja tu lkn tukaendelea kuwa wamoja kama taifa.

Hivi sasa tunapeana tuhuma na majina ya ajabu ajabu mfano: magaidi, wahuni, viroboto, sukuma gang, n.k. Haya yote mwisho wake siyo mwema.

Viongozi simameni imara kurekebisha kasoro hizi. Msijione mko salama kwasababu tu ndiyo mmeshika makali. Siku zaja ambazo haziko mbali mtalia na kujuta kwanini hamkuyaweka mambo sawa.



Screenshot_20211231-150010.png
 
Usichokijua ni kwamba CCM ina wanachama zaidi ya milioni 15 na kila mwanachama analingana na mwingine kwenye ujenzi wa chama hivyo inapotokea mwanachama mmoja au wawili wameamua kuasi hiyo ni sehemu ndogo sana ya kuweza kuleta uharibifu wa kupelekea tishio kwa CCM
 
Usichokijua ni kwamba CCM ina wanachama zaidi ya milioni 15 na kila mwanachama analingana na mwingine kwenye ujenzi wa chama hivyo inapotokea mwanachama mmoja au wawili wameamua kuasi hiyo ni sehemu ndogo sana ya kuweza kuleta uharibifu wa kupelekea tishio kwa CCM
Danganya wa huko kwenu. Wajuvi wa mambo tunajua kwamba chama kina watu wasiozidi 50 tu ambao ndiyo kauli na minyukwno yao inqbadili upepo wa siasa ndani ya chama. Wengine mnafuata midundo tu. Siku hao 50 wakiamua kugawana fito hakuna chama hapo.
 
Hakika ninawaambia, wanaccm mliopo madarakani hv sasa hamko salama endapo msipoushuguhulikia mgawanyiko huu wa kitaifa.

Kuna nyakati tuliheshiana, tulibishana na kupinganga kwa hoja tu lkn tukaendelea kuwa wamoja kama taifa.

Hivi sasa tunapeana tuhuma na majina ya ajabu ajabu mfano: magaidi, wahuni, viroboto, sukuma gang, n.k. Haya yote mwisho wake siyo mwema.

Viongozi simameni imara kurekebisha kasoro hizi. Msijione mko salama kwasabb tu ndiyo mmeshika makali. Siku zaja ambazo haziko mbali mtalia na kujuta kwann hamkuyaweka mambo sawa.



View attachment 2063945
huo ni mtazamo wako, tatizo kubwa wewe ni fukara tafuta hera hutaona mgawanyiko wowote.
 
CCM ni moja miaka yote. Haijawahi na haitowahi kugawanyika, hiki unachokiona ni ukomavu wa demokrasia unaooneshwa na chama hicho ambapo ktk vyama vingine hamna demokrasia hiyo. Kama kuhoji tu uhalali wa mwenyekiti wa chama fulani kubandua kipengele cha ukomo wa madaraka kihuni kumegharimu maisha ya aliehoji na wengine kufukuzwa chamani, je ukiingia deep kuhoji matumizi ya makato ya mishahara ya wabunge waliokatwa kwa muda wa miaka mi5, ruzuku za chama nk hali inaweza kuwaje kwa muhojaji?
 
CCM ni moja miaka yote. Haijawahi na haitowahi kugawanyika, hiki unachokiona ni ukomavu wa demokrasia unaooneshwa na chama hicho ambapo ktk vyama vingine hamna demokrasia hiyo. Kama kuhoji tu uhalali wa mwenyekiti wa chama fulani kubandua kipengele cha ukomo wa madaraka kihuni kumegharimu maisha ya aliehoji na wengine kufukuzwa chamani, je ukiingia deep kuhoji matumizi ya makato ya mishahara ya wabunge waliokatwa kwa muda wa miaka mi5, ruzuku za chama nk hali inaweza kuwaje kwa muhojaji?
Hawajui, Ndani ya wiki 1/2 zijazo Ndugai na Samia watagonga cheers na kusifiana
 
Usichokijua ni kwamba CCM ina wanachama zaidi ya milioni 15 na kila mwanachama analingana na mwingine kwenye ujenzi wa chama hivyo inapotokea mwanachama mmoja au wawili wameamua kuasi hiyo ni sehemu ndogo sana ya kuweza kuleta uharibifu wa kupelekea tishio kwa CCM
Na wewe chama kinakutegemea katika ujenzi wake? Duh......[emoji2297][emoji2297]
 
Kugawanyika kwa taifa na ccm sio kitu kipya ni tangu magufuli aingie madarakani na ndio mara zote watz wamekataa kuongozwa na ccm genge hili la kibuni na chama cha kishetani
 
Danganya wa huko kwenu. Wajuvi wa mambo tunajua kwamba chama kina watu wasiozidi 50 tu ambao ndiyo kauli na minyukwno yao inqbadili upepo wa siasa ndani ya chama. Wengine mnafuata midundo tu. Siku hao 50 wakiamua kugawana fito hakuna chama hapo.
Watu 50 ni wengi sana.

Kama utakumbuka CC wakati wa uchaguzi wa 2015 ilikuwa na wajumbe 32.

Mkiti JK akaja na majina matano, BKM, JYM, JPM, ARM na ASA

Wajumbe watatu wa CC (Nchimbi, Kimbisa na Sofia Simba) walimgomea mkiti kwanini aje na majina 5 badala ya wote waliochukua fomu wajadiliwe.

Bila shaka kuna watu wachache sana ambao wana nguvu kubwa ya ushawishi na muono wa mambo yaendeje. Wengine wanawaita "deeo state" who knows.

Cha msingi tuombe Mungu kuwe na utulivu, kama watu wanabishana kwa hoja basi maisha yaendelee, isifikie ile hali ambayo JK alisema sio rahisi watu kuachiana glass za vinywaji.

Nadhani mijadala ya tukope au tusikope, na kama tunakopa tunawekeza kwenye nini ili tupige hatua haraka kama nchi, hii mijadala ina tija kwa kupanua ufahamu, tumejua ni kiasi gani tunadaiwa na debt threshold ikoje kwetu (Tanzania).

Tutakiane heri za Mwaka mpya 2022, tuishi kwa ku-debate ila tubaki tukiheshimiana pasi kutwezana au kuwabagaza wale ambao tunatofautiana kwa hoja.
 
Hakika ninawaambia, wanaccm mliopo madarakani hivi sasa hamko salama endapo msipoushuguhulikia mgawanyiko huu wa kitaifa.

Kuna nyakati tuliheshiana, tulibishana na kupinganga kwa hoja tu lkn tukaendelea kuwa wamoja kama taifa.

Hivi sasa tunapeana tuhuma na majina ya ajabu ajabu mfano: magaidi, wahuni, viroboto, sukuma gang, n.k. Haya yote mwisho wake siyo mwema.

Viongozi simameni imara kurekebisha kasoro hizi. Msijione mko salama kwasababu tu ndiyo mmeshika makali. Siku zaja ambazo haziko mbali mtalia na kujuta kwanini hamkuyaweka mambo sawa.



View attachment 2063945
Mpasuko wa CCM udumu. Migogoro, chuki na uhasama vidumu ndani ya CCM.
 
Hawazijui siasa za Tanzania zinakwendaje, ndio maana inakuwa ngumu kuamini kuwa CCM ni moja miaka yote.
Wapinzani wa nchi hii wanatuangusha sana, hawajui hata nini wanataka, wanadandia dandia hoja za wanaCCM na kutembea na beat hizo, at least ACT wanajitahidi kujitoa huko
 
Wapinzani wa nchi hii wanatuangusha sana, hawajui hata nini wanataka, wanadandia dandia hoja za wanaCCM na kutembea na beat hizo, at least ACT wanajitahidi kujitoa huko
ACT ina uafadhali kidogo, japo kinapigwa vita na wanywa gongo wa chama kile kisichopenda umoja wa kitaifa, ambacho kazi yake ni kususia kila jambo lenye manufaa kwa taifa.
 
Back
Top Bottom