Tunamalizia bonanza la utangulizi tukisubiria mechi ya kiume na kibabe. Utake ndiyo hivyo, ukatae itabaki kuwa hivyo!

Tunamalizia bonanza la utangulizi tukisubiria mechi ya kiume na kibabe. Utake ndiyo hivyo, ukatae itabaki kuwa hivyo!

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Tunaangalia mechi ya kutusafishia macho kati ya Makolo FC dhidi ya Ihefu ya Angola, wakati tukijiandaa na tukisubilia kwa hamu kubwa mechi dume, mechi ya wanaume hasa, itakayopigwa pale Omdurman Sudan.

Hii timu ya Ihefu kutoka Angola hata ingekuwa imehaidiwa kupewa nchi yao peke yao hawawezi kutoboa mahala popote pale. Mpaka sasa sijaelewa wanacheza kutafuta kitu gani, maana wanacheza kama vile wao ndiyo wanaongoza. Ni miongoni mwa timu dhaifu kupita maelezo, sikushangaa Namungo kuwachapa goli 6.

Yote kwa yote, ngoja tusubili mechi ya wanaume na siyo huu uchafu.
 
unasikilizaaaaaaaaaa 0.5 UTOPOLOOOO FM, nikisema ZERO SEMA POINT 5...ZEROOOOO
0.5 POINTS.jpg
 
Wewe bwbwaja tu. Ndivyo ilivyo, mzigo akichukuwa mwenzio hata kama ni mzito utahisi ni mwepesi.

Mwanzo mulihesabu Simba atafungwa magoli matano. Haikuwa mlivyosema, Sasa leo unaiita de Agosto Ihefu.
Mtakutananao hao huko Shirikisho. Subiri muda tu mkakamilishe ratiba.
 
Mimi kama shabiki wa. Simba kindakindaki,kwa kweli natamani Sana kuangalia mechi ya yanga kuliko timu yangu ya simba ,kwa kweli Yanga ikiwa uwanjani kama naangalia vile psg inamvuto sana.wanasimba tuandamane tuichukue Yanga ndio iwe simba bila hivyo nahama
La sivyo tuandamaneneni kwa kweli au simba ifutwe tu ibaki yanga
 
Tunaangalia mechi ya kutusafishia macho kati ya Makolo FC dhidi ya Ihefu ya Angola, wakati tukijiandaa na tukisubilia kwa hamu kubwa mechi dume, mechi ya wanaume hasa, itakayopigwa pale Omdurman Sudan.

Hii timu ya Ihefu kutoka Angola hata ingekuwa imehaidiwa kupewa nchi yao peke yao hawawezi kutoboa mahala popote pale. Mpaka sasa sijaelewa wanacheza kutafuta kitu gani, maana wanacheza kama vile wao ndiyo wanaongoza. Ni miongoni mwa timu dhaifu kupita maelezo, sikushangaa Namungo kuwachapa goli 6.

Yote kwa yote, ngoja tusubili mechi ya wanaume na siyo huu uchafu.
JamiiForums764597660.gif
 
Siku zote kwenye sherehe, watoto hucheza disco lao mchana! Halafu wakubwa hucheza usiku.
Kweli huko hakuna wenye akili isipokuwa wawili kwa mujibu wa ******cheupe. Mara hii umeshasahau?
Wiki iliyopita ulicheza mchana, ulikuwa mtoto na leo umekua kwa ratiba yako ya usiku?
Popoma katika ubora wako.
Mimi kama shabiki wa. Simba kindakindaki,kwa kweli natamani Sana kuangalia mechi ya yanga kuliko timu yangu ya simba ,kwa kweli Yanga ikiwa uwanjani kama naangalia vile psg inamvuto sana.wanasimba tuandamane tuichukue Yanga ndio iwe simba bila hivyo nahama
La sivyo tuandamaneneni kwa kweli au simba ifutwe tu ibaki yanga
Uwe shabiki wa Simba kindakindaki, usiwe, una Uhuru wa kuandika uharo uutakao.
 
Mimi kama shabiki wa. Simba kindakindaki,kwa kweli natamani Sana kuangalia mechi ya yanga kuliko timu yangu ya simba ,kwa kweli Yanga ikiwa uwanjani kama naangalia vile psg inamvuto sana.wanasimba tuandamane tuichukue Yanga ndio iwe simba bila hivyo nahama
La sivyo tuandamaneneni kwa kweli au simba ifutwe tu ibaki yanga
Ww ni utopolo
 
Ukweli ndio huo hili Ni bonanza saa tatu ndio mpira bhan
 
Back
Top Bottom