Tunamalizia bonanza la utangulizi tukisubiria mechi ya kiume na kibabe. Utake ndiyo hivyo, ukatae itabaki kuwa hivyo!

Hakuna timu iliyocheza na Simba mkakubali kuwa ni nzuri. Hadi Al Ahly mliikataa! Nyinyi hamjawahi kuwa na akili.
Hahahaaa Tena Al ahly katoka kuchukua ubingwa wa Africa akaenda kucheza club bingwa ya dunia kashika safasi ya tatu. Kaja dar kapigwa moja na Simba
 
Mwarabu anaenda kuwakeketa mchana kweupeee kudadadeq
 
Huna haja ya kusema ww ni simba maana mashabiki simba hatuna upumbavu
 
vipers mara yao ya kwanza kucheza makundi ila washajihakikishia points 3 za CAF , hapo kwenye ranks za CAF mwezi ujao hawakosi 50 bora ila kuna watu hao jamani wanavyoipenda 0.5 hadi nooma yaani

View attachment 2389166
Nyinyi endeleeni na hizo ranks zenu za CAF. Sisi tutaendelea tu kuchukua makombe yote ya ndani.
 
Ehe? ulikua unasemaje mama?
 
Dada umeshatiwa hukoo
 
 
Vipi wanaume mnaendeleaje hapo Khartoum?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…