Kiukweli huyu mzee tulivipenda vitu vyake ila tusimlazimishe kurudi kwenye Sana'a ya mziki! Huyu mzee kachoka na kazeeka hivyo hata akirudi kwenye muziki performance yake itakuwa poor.
Ingawa kuna wengine wanataka kumtumia kisiasa mi ningeshauri aachwe apumzike
Ingawa kuna wengine wanataka kumtumia kisiasa mi ningeshauri aachwe apumzike