HahahahahaBado hajaimba remix ya ccm mbele kwa mbele [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sina shaka haya maswali ingawa umeuliza nina imani utajijibu mwenyewe tena vizuri kabisaMkuu umetumia vigezo gani kumuona kachoka..!?,
Ni nani anataka kumtumia kisiasa..!?
Mashabiki wake ndio wana uwezo wa kuamua Kama kachoka au la..!
Siwezi kujijibuSina shaka haya maswali ingawa umeuliza nina imani utajijibu mwenyewe tena vizuri kabisa
Labda akimtamzama usoni na vile ameungua kwa mkorogo basi anamuona kachoka..eti USO wake umekua kama chips yai iliokosa mafuta!Mkuu umetumia vigezo gani kumuona kachoka..!?,
Ni nani anataka kumtumia kisiasa..!?
Mashabiki wake ndio wana uwezo wa kuamua Kama kachoka au la..!
Fadhila kwa aliyemtoa kifungoni atazirudishaje sasa?Huyu si alikokoka na akasema hata kama atatoka muziki na yeye basi,
Au kaambiwa “NATAKA UIMBE”?
Hahahahaha! We noumaaaaaa!Labda akimtamzama usoni na vile ameungua kwa mkorogo basi anamuona kachoka..eti USO wake umekua kama chips yai iliokosa mafuta!
Bado hajachoka. Mwangalie maestro King Kiki kwa mfano, au Said Mabera kwanza kabla hujasema hivyo. Kwenye mziki hakuna cha kuzeeka.Kiukweli huyu mzee tulivipenda vitu vyake ila tusimlazimishe kurudi kwenye Sana'a ya mziki! Huyu mzee kachoka na kazeeka hivyo hata akirudi kwenye muziki performance yake itakuwa poor.
Ingawa kuna wengine wanataka kumtumia kisiasa mi ningeshauri aachwe apumzike
Haya bibi Seya tumekuelewa, mzee kachoka.Kiukweli huyu mzee tulivipenda vitu vyake ila tusimlazimishe kurudi kwenye Sana'a ya mziki! Huyu mzee kachoka na kazeeka hivyo hata akirudi kwenye muziki performance yake itakuwa poor.
Ingawa kuna wengine wanataka kumtumia kisiasa mi ningeshauri aachwe apumzike
Mbona marehem bibi kidude aliimba akiwa mbibi?
Kila nabii na wakati wakeKiukweli huyu mzee tulivipenda vitu vyake ila tusimlazimishe kurudi kwenye Sana'a ya mziki! Huyu mzee kachoka na kazeeka hivyo hata akirudi kwenye muziki performance yake itakuwa poor.
Ingawa kuna wengine wanataka kumtumia kisiasa mi ningeshauri aachwe apumzike