Tunamlipa Nini Fiston Mayele Kwa Kuitangaza na Kuifikisha Mbali Ligi KUU Tanzania Bara?

Mpe ndogo.. maana yule mwenzako tayari aliweka wazi kama mayele anataka zaga atampa
 
I stand to support
 
Na ndiyo kisa nilisema Mayele atabaki kuwa Mayele tu...kiatu kakikosa kwa kua sio mzawa,magoli yake aliyokataliwa ni mengi kuliko mchezaji yeyote yule ktk ligi ýa Nbc msimu huu.
 
Nikusahihishe staili ya mayele na yeye kaiga kwenye season ya sanger. Ni season ya waturuki.
Sasa kaangaalie hiyo season then uje kusema season na mayele stayle ipi imeanza.
Hata kama kaiga lakini yeye ndiye kaileta hapa
Wengi tumeifahamu style hii kupitia yeye
 
Sanger imeanza kuigizwa mwaka 2017

Ikazinduliwa mwaka 2019

Mayele ameanza kutetema kabla ya mwaka 2016.
Labda ya jangwani. Sanger nayoijua Mimi ya tangu 2014.

Nyongeza.
Umewahi kuona mahujaji wa kituruki/UAE wakiwa Wana zikiri?
Basi ndipo ambapo mayele kaenda kukopi kutetema
 
Mpe ndogo.. maana yule mwenzako tayari aliweka wazi kama mayele anataka zaga atampa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwan huko jangwani kupeana zaga wameanza leo?au ni jambo la kushangaza? Kwao ni kawaida kabisa, Mchezaji na kiongozi wanagombania bwana (mchezaji), bwana anaamua ku settle na mchezaji mwenzie, kiongozi anaamua kufanya fatiki ya kuvujisha video ya mchezaji akiwa na bwana mwingne,

Mwisho bwana (mchezaji) akaamua kusepa zake. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo utopwinyo kupeana zaga ni utaratibu wao.
 
Tukijiuliza kitu cha kumpa pole ilhali na wewe upo inakuwa ni kama kupoteza muda tu, sisi kama Watz tutakuozesha kwake maana umeonyesha mahaba ya kiwango cha juu sana kwake.
 
Mbong'oleeni tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…