demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Wengi tumekuwa tukishangilia Fiston Mayele. Pale anapofunga tumekuwa wepesi kuiga namna yake ya kipekee ya ushanhiliaji. Hata wale wa upande wa pili nasikia walikuwa wakitetema kisiri huko faragha.
Wengi tumeinjoy uwepo wake katika Ligi yetu pendwa.
Kama umekuwa mfuatiliaji makini wa LiGI KUU utakubaliana nami kuwa tangu atue Jangwani kuna exposure fulani hivi ambayo imekuwa ikikosekana huko nyuma ila yeye amekuja nayo.
Kwa mfano kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wafuatiliaji wa mpira wa wana michezo nje ya mipaka ya Tanzania.
Pia kuna ongezeko kubwa sana la kundi rika la chini kufuatilia mpira zaidi msimu huu kuliko misimu yote iliyowahi kuwako.
Aidha, Vyombo mbalimbali vya Kimataifa vya Habari na Burudani vimeanza kuiangazia Ligi Yetu ya Tanzania. Kwa mfano mashirika ya mpira wa miguu kutoka barani Ulaya ie LaLIGA.
Pia ongezeko la wachezaji wa kigeni kutoka nje ya mipaka ya Tanzania ni matunda ya Uwepo wa Mayele katika LiGI KUU. Kila mchezaji hivi sasa anatamani kucheza Tanzania ili awe kama Fiston Mayele.
Si Makanisani, Si Misikitiki wala Maofisini Fiston Mayele amekuwa gumzo. Hiyo yote inatokana na jitihada zake za kuosaidia LiGI KUU ya Tanzania kupata recognition kutoka nje ya mipaka ya Tanzania kwa lengo la kuvutia uwekezaji.
Haya Yote Anafanya FISTON MAYELE. Kwa moyo wake mkunjufu ameamua kuwa mzalendo wa hiari kwa Taifa la Tanzania.
Sio Kwamba angeshindwa kufanya haya kwako lakini amechaguwa kutufanyia hivi watanzania.
Je, TUMEJIANDAA KUMLIPA NINI?
View attachment 2278661
Wengi tumeinjoy uwepo wake katika Ligi yetu pendwa.
Kama umekuwa mfuatiliaji makini wa LiGI KUU utakubaliana nami kuwa tangu atue Jangwani kuna exposure fulani hivi ambayo imekuwa ikikosekana huko nyuma ila yeye amekuja nayo.
Kwa mfano kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wafuatiliaji wa mpira wa wana michezo nje ya mipaka ya Tanzania.
Pia kuna ongezeko kubwa sana la kundi rika la chini kufuatilia mpira zaidi msimu huu kuliko misimu yote iliyowahi kuwako.
Aidha, Vyombo mbalimbali vya Kimataifa vya Habari na Burudani vimeanza kuiangazia Ligi Yetu ya Tanzania. Kwa mfano mashirika ya mpira wa miguu kutoka barani Ulaya ie LaLIGA.
Pia ongezeko la wachezaji wa kigeni kutoka nje ya mipaka ya Tanzania ni matunda ya Uwepo wa Mayele katika LiGI KUU. Kila mchezaji hivi sasa anatamani kucheza Tanzania ili awe kama Fiston Mayele.
Si Makanisani, Si Misikitiki wala Maofisini Fiston Mayele amekuwa gumzo. Hiyo yote inatokana na jitihada zake za kuosaidia LiGI KUU ya Tanzania kupata recognition kutoka nje ya mipaka ya Tanzania kwa lengo la kuvutia uwekezaji.
Haya Yote Anafanya FISTON MAYELE. Kwa moyo wake mkunjufu ameamua kuwa mzalendo wa hiari kwa Taifa la Tanzania.
Sio Kwamba angeshindwa kufanya haya kwako lakini amechaguwa kutufanyia hivi watanzania.
Je, TUMEJIANDAA KUMLIPA NINI?
View attachment 2278661