Tunammiss Diamond wetu entertainer. Huyu Diamond mfanyabiashara anatunyima uhondo

Tunammiss Diamond wetu entertainer. Huyu Diamond mfanyabiashara anatunyima uhondo

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Tunamiss yule Diamond mwanamuziki. Tunammiss Diamond entertainer. TunammissDiamond drama boy. Kiukweli Diamond akipoa na muziki wetu unapoa. Diamond ni kama chameleon alivyokuwa anaubeba muziki wa uganda.

Diamond tangia awe CEO wa biashara kubwa kubwa amekuwa anafanya muziki kibepari sana kuna zile mbwembwe za Diamond hatuzipati tena.

Awa vijana wanaojaribu kupita njia zake bado sana hawana nyota ya mvuto mwisho wa siku wanaboa tu.

I wish Diamond asingekua na biashara kubwa na endorsement kubwa kubwa ili tupate ile taste halisi ya diamond.
 
Nakumbuka nilivyokuwa mpenzi wa Bongo movie, tangu Kanumba afariki sijawahi kuangalia tena aisee!
Kina Rey walikuwa wanatembelea nyota ya jamaa [emoji1][emoji1][emoji1]
If you live in the past the future will never find you.
Siku hizi tamthlia zao wanajitahidi kama huba na juakali. Mimi tamthlia za kiswahili napendelea wakenya ila ikitokea nimeona huba au juakali naona wamepiga hatua sana kuliko hata enzi za kanumba.
New faces zinafanya poa poa. Hata Mimi Mars, nadhani anajua kuigiza hata Quick Rocka anajua kuigiza zaidi
 
Diamond ana biashara gani kubwa anayoimiliki mkuu?
 
Kwenye production quality wanajitahidi kuliko uko nyuma.

Lakini tukija kwenye mastaa wa movie bado hatuna staa wa movie anaeweza kuibeba industry akatoa movie tukaipa attention kama taifa.
Ila mimi kusema kweli hata wanaija kwenye movie uwa naona tofauti yao na watanzania ni wao kuzungumza pidgin ila sionagi maajabu yao yoyote na wala mimi sio mpenzi kabisa wa movie zao.
Mimi napenda Wasouth na Wazimbabwe kuna moja inaonyeshwa show max ni ya wakenya inahusu crime tangazo lake uwa linanifanya nihisi ni nzuri
 
Kwenye upande wa production south africa walishapiga hatua miaka mingi sana nyuma walichopigwa bao na wanaija ni kukosa watu wa kuibeba industry yao ya movie.

Naija wana watu kama genevive ramsey noah ni maarufu kuliko movie zao...hii ni muhimu sana kwenye mambo ya sanaa.
Mimi kwakweli naonaga movie zao za kawaida tu.
 
Mnatupa shida vijana wenzenu.
ndo maana siku hizi wanasema wanaume tunapungua.
Hilo neno hata kwa mwanamke wangu siwezi kulitumia.
Uwa mnaanza hivyo hvyo
Hapana nimemmis mamako mzazi kumpakata
 
Song:UTU-Alikiba
Hii ngoma imenifanya nimkubali alikiba na sasa nimeanza kukubaliana na team kiba waliokuwa wanasema mondi hamfikii alikiba kwa utunzi

Ni kweli Diamond alikuwa zamani,yule aliekuwa anaumizwa na mapenzi anakuja na ngoma kali lakini sahiv anapesa hata haumizwi kimapenz tena
 
Ila mimi kusema kweli hata wanaija kwenye movie uwa naona tofauti yao na watanzania ni wao kuzungumza pidgin ila sionagi maajabu yao yoyote na wala mimi sio mpenzi kabisa wa movie zao.
Mimi napenda Wasouth na Wazimbabwe kuna moja inaonyeshwa show max ni ya wakenya inahusu crime tangazo lake uwa linanifanya nihisi ni nzuri
Kwenye upande nzima wa movie kuanzia wanaijeria hadi wafilipino na wakorea hakuna kitu filamu zao nyingi mbovu ila lugha zinawabeba tu.

Ila kwenye upande wa Tv Show hapa Kuna Wamarekani na Wakorea hawa ni NEXT LEVEL na wapo mbali sana.

Wahindi ni wabovu kwenye Tv Show hakuna mfano ila kwenye Movie wapo mbali sana japo zingine Huwa uwongo unazidi.
 
Tunamiss yule Diamond mwanamuziki.Tunammiss Diamond entertainer......TunammissDiamond drama boy.....Kiukweli Diamond akipoa na muziki wetu unapoa.... Diamond ni kama chameleon alivyokuwa anaubeba muziki wa uganda.

Diamond tangia awe CEO wa biashara kubwa kubwa amekuwa anafanya muziki kibepari sana kuna zile mbwembwe za Diamond hatuzipati tena.

Awa vijana wanaojaribu kupita njia zake bado sana hawana nyota ya mvuto mwisho wa siku wanaboa tu.

I wish Diamond asingekua na biashara kubwa na endorsement kubwa kubwa ili tupate ile taste halisi ya diamond.
Diamond wa nitarejea, diamond wa mdogo mdogo
 
Back
Top Bottom