🙄 Wow!! tafsida mkuuHapana nimemmis mamako mzazi kumpakata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙄 Wow!! tafsida mkuuHapana nimemmis mamako mzazi kumpakata
Ktk tamthilia zote kali ni KAPUNI.If you live in the past the future will never find you.
Siku hizi tamthlia zao wanajitahidi kama huba na juakali. Mimi tamthlia za kiswahili napendelea wakenya ila ikitokea nimeona huba au juakali naona wamepiga hatua sana kuliko hata enzi za kanumba.
New faces zinafanya poa poa. Hata Mimi Mars, nadhani anajua kuigiza hata Quick Rocka anajua kuigiza zaidi
ChukiDiamond ana biashara gani kubwa anayoimiliki mkuu?
Umempa jibu takatifu 🤣🤣🤣Hana biashara yoyote mkuu
Nipe jina la hiyo movieIla mimi kusema kweli hata wanaija kwenye movie uwa naona tofauti yao na watanzania ni wao kuzungumza pidgin ila sionagi maajabu yao yoyote na wala mimi sio mpenzi kabisa wa movie zao.
Mimi napenda Wasouth na Wazimbabwe kuna moja inaonyeshwa show max ni ya wakenya inahusu crime tangazo lake uwa linanifanya nihisi ni nzuri
Utu katungiwa na jamaa mmoja anaitwa vanilla ambaye ni song writer lakini pia ni muimbajiSong:UTU-Alikiba
Hii ngoma imenifanya nimkubali alikiba na sasa nimeanza kukubaliana na team kiba waliokuwa wanasema mondi hamfikii alikiba kwa utunzi
Ni kweli Diamond alikuwa zamani,yule aliekuwa anaumizwa na mapenzi anakuja na ngoma kali lakini sahiv anapesa hata haumizwi kimapenz tena
Kuna series ya kikorea moja hivi niliicheki inaitwa "Innocent Defendant" ni Kali ile mbaya hata kwenye list yangu Kali nilizowahi kutazama duniani hii inaingia kwenye top 3 yangu all the time wakorea wanajua Sana hii series imepangiliwa vizuri story mpaka mtiririko mzima wa story upo well organized hakuna utoto kabisa wahusika wamevaa vizuri uhusika na kuna ubunifu mzuri kiasi ambacho kila episode inapoisha unakuwa na hamu yakucheki next episode kujua nini kitajili starring na adui wamepewa nguvu sawa kimaudhui kiasi ambacho kumsaidia kuleta msisimuko wa series.Kwenye upande nzima wa movie kuanzia wanaijeria hadi wafilipino na wakorea hakuna kitu filamu zao nyingi mbovu ila lugha zinawabeba tu.
Ila kwenye upande wa Tv Show hapa Kuna Wamarekani na Wakorea hawa ni NEXT LEVEL na wapo mbali sana.
Wahindi ni wabovu kwenye Tv Show hakuna mfano ila kwenye Movie wapo mbali sana japo zingine Huwa uwongo unazidi.
moyo wangu, 😂😂😂 daaah yaaaniDiamond wa NITAREJEA,UKIMUONA,UKILALA duuh! alikua moto.
Hiki sasa ni kiburi chako tu mkuu 😂Diamond ana biashara gani kubwa anayoimiliki mkuu?
Mkuu wakorea gani? Kama wa kiduku sawaKwenye upande nzima wa movie kuanzia wanaijeria hadi wafilipino na wakorea hakuna kitu filamu zao nyingi mbovu ila lugha zinawabeba tu.
Ila kwenye upande wa Tv Show hapa Kuna Wamarekani na Wakorea hawa ni NEXT LEVEL na wapo mbali sana.
Wahindi ni wabovu kwenye Tv Show hakuna mfano ila kwenye Movie wapo mbali sana japo zingine Huwa uwongo unazidi.
Watakuja kuniua ila kanumba is overratedIf you live in the past the future will never find you.
Siku hizi tamthlia zao wanajitahidi kama huba na juakali. Mimi tamthlia za kiswahili napendelea wakenya ila ikitokea nimeona huba au juakali naona wamepiga hatua sana kuliko hata enzi za kanumba.
New faces zinafanya poa poa. Hata Mimi Mars, nadhani anajua kuigiza hata Quick Rocka anajua kuigiza zaidi
Ngoja waje watakusema mpaka dela lako lijikunje 😀Watakuja kuniua ila kanumba is overrated
Yaani mpaka nitaiona siku chungu. Ila ukweli ndio huo kila zama na kitabu chakeNgoja waje watakusema mpaja dela lako lijikunje [emoji3]
Kwanini unaamini Kanumba ni overrated? may be una pointWatakuja kuniua ila kanumba is overrated