Tunamsaidia apone haraka au tunamsifia tu Kinafiki tupate Umaarufu huku kama vile tukiwa ' tunamchulia ' sasa afe kabisa?

Matajir wenzie wamchangie


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Linapokuja swala la kuugua mtu, hata kama una uadui naye, jambo jema sana kwako ni kumsaidia kwa hali na mali ili kuonyesha kuwa sote hapa duniani tunategemeana, na hakika baada ya kupona mtakuwa marafiki wa kweli kabisa. Hivyo kumwombea na kumsaidia ni jambo jema sana (unajiwekea hazina) kuliko kuendeleza bifu na chuki bila kujua leo kwake kesho kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…