Tunamsaidiaje Irene? Kanyimwa talaka na mumewe, kesi Jumatatu mahakamani

Tunamsaidiaje Irene? Kanyimwa talaka na mumewe, kesi Jumatatu mahakamani

Hivi "spelling" kwa lugha yetu wenyewe mbona ni shida sana? "TARAKA" kweli! ama unamaanisha talaka?
Mambo ya talaka ambayo ni madai na vituo vya polisi, wapi na wapi?
Kesi kama hizo ni za mahakamani moja kwa moja na siyo polisi.
Hakuna sheria yoyote inayolazimisha ndoa, bali huwa ni usuluhisho tu na ikishindikana, ndoa hiyo hubatilishwa kisheria.
Mnaweza msigombane, lakini mmoja akamchoka mwenzie, hiyo ni sababu tosha ya kuachana, maana ndoa ni mkataba wa hiari wa "me" na "ke" kuishi pamoja. Na kiunganishi kikubwa ni upendo. Upendo unapokosekana ni halali ndoa hiyo kubatilishwa ili kila mtu afuate 50 zake, ili mradi kwa kufuata sheria.
Umenena vyema mkuu ndoa hailazimishwi lakini ni kosa kumpa mimba mke halali wa mtu kwa maana ya kuwa bado hajapewa talaka rasmi na mumewe wa ndoa. Hapo mwanamke ni mzinzi mbele ya sheria na mbingu. Alitakiwa aende mahakani kudai talaka kwa lazima kabla hajashiriki tendo la ndoa na mtu mwingine.
 
Hivi "spelling" kwa lugha yetu wenyewe mbona ni shida sana? "TARAKA" kweli! ama unamaanisha talaka?
Mambo ya talaka ambayo ni madai na vituo vya polisi, wapi na wapi?
Kesi kama hizo ni za mahakamani moja kwa moja na siyo polisi.
Hakuna sheria yoyote inayolazimisha ndoa, bali huwa ni usuluhisho tu na ikishindikana, ndoa hiyo hubatilishwa kisheria.
Mnaweza msigombane, lakini mmoja akamchoka mwenzie, hiyo ni sababu tosha ya kuachana, maana ndoa ni mkataba wa hiari wa "me" na "ke" kuishi pamoja. Na kiunganishi kikubwa ni upendo. Upendo unapokosekana ni halali ndoa hiyo kubatilishwa ili kila mtu afuate 50 zake, ili mradi kwa kufuata sheria.
Hapana, ingawa ndoa ni fungamano la hiyari na hujengwa ktk upendo miongoni mwa waliomo ndoani, ila kuibatilisha kwa talaka lazima awasilishe vigezo muhimu mahakani.

Mfano, vipigo vinavyopitiliza,magonjwa ya kuambukiza, vifungo virefu nk. Awafuate tu wanasheria wamsaidie, si kuchokana tu.
 
Hivi "spelling" kwa lugha yetu wenyewe mbona ni shida sana? "TARAKA" kweli! ama unamaanisha talaka?
Mambo ya talaka ambayo ni madai na vituo vya polisi, wapi na wapi?
Kesi kama hizo ni za mahakamani moja kwa moja na siyo polisi.
Hakuna sheria yoyote inayolazimisha ndoa, bali huwa ni usuluhisho tu na ikishindikana, ndoa hiyo hubatilishwa kisheria.
Mnaweza msigombane, lakini mmoja akamchoka mwenzie, hiyo ni sababu tosha ya kuachana, maana ndoa ni mkataba wa hiari wa "me" na "ke" kuishi pamoja. Na kiunganishi kikubwa ni upendo. Upendo unapokosekana ni halali ndoa hiyo kubatilishwa ili kila mtu afuate 50 zake, ili mradi kwa kufuata sheria.
Kwa mujibu wa sheria ya ndoa mwaka 1971 hakuna hata sababu moja ya mahakama hapo kuvunja ndoa.
 
Anaomba ushauri wa kisheria; bwana Yesaya alifunga ndoa na mwanadada Iren miaka 4 iliyopita, ndoa yao ilidumu kwa miaka 2 tu kisha mwanamke akaondoka baada ya kutoridhiswa na tabia za mumewe, hususan kunywa pombe kupita kias, uvutaj wa sigara ulioptilza n.k, baadae alimuomba TARAKA take ili awe huru mume akakataa, Iren akampata mwanaume mwingine akawa anaishi nae, mwisho akapata ujauzito, akarudi nyumbani kujiangalizia ndipo alipokutana na mume Yesaya, yesaya akapeleka kesi kituo kidogo cha polisi kumshtaki Irene kwa kubeba ujauzito angali na mke wake halali. Tunamsaidiaje Iren?
Hapo hamna sababu za msingi za kuvunja ndoa kwa mujibu wa sheria ya ndoa.

Lakini pia Irene amekosea kuzaa kabla ya talaka rasmi.

Hakika analo la kujibu mbele ya mahakama!!
 
Kwa ufup jamaa bado anampenda mkewe japo wamengana kwa zaid ya miaka 2 na talaka asitoe, lakin kilicho mpeleka mahakaman ni kutaka kurudiana na mkewe na mwamke hayuko tayar ana nae, kwahiyo Mume ameamua ku2mia nguvu ya pesa kupenyeza lupia kwa mkuu wa kituo,wakili pamoja hakimu, imebainika imetolewa kama milion 10 hiv ili mwanamke sheria imbane alipe fidia kwa kubeba ujauzito nje ya ndoa na arudi kwa mumewe kwan bado n mke halal. Kama ilivyo ada; watanzania tuliokua weng sheria za kutulinda wenyewe hatuzjui, na ndio maana tunaburuzwa,
Hapo hakuna cha rushwa wala nini.. Sheria iko wazi...Irene ana hatia..period!!!
 
Back
Top Bottom